GSM yatangaza kujiondoa kwenye udhamini mwenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara

GSM yatangaza kujiondoa kwenye udhamini mwenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Hela hana na bora Yanga wamwombe Fred Vunja bei aje awe mdhamini wa timu. Sio lazima wote wawe wadhamini wa Ligi letu NBC anatosha, wengine wawe mashabiki tu. Hivi utofauti wa GSM na Fred Vunja Bei ni nn? Wote wanamaduka ya jersey na wote wanadhamini timu. Ila wote hao wanatofautiana sana na Mo Dewj kwanza Mo tirionea,Fred V ni bilionea na jiesiem ni elfumia
Moyo wako umepumua eti,si useme tu kuwa GSM maskini hata wewe unamzidi.
 
Vilabu 16 plus TFF 2.5B
Leo wamerudi na 1B kwa miaka mitano kwa klabu fulani!
 
Back
Top Bottom