Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Na bado kuna vitoga vingine vime miss kwenye pichaUjumbe katika pichaView attachment 2111500
Vyote vinabembea kwenye msuli wa mwanamke mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado kuna vitoga vingine vime miss kwenye pichaUjumbe katika pichaView attachment 2111500
Piga chiniHome Shopping Centre Chali
Kwahiyo <> KwaiyoKwaiyo wewe mbulula unafikiri nani anaumia? Gsm hana cha kupoteza ela yake ataielekeza kwingine, tff,bodi ya ligi na vilabu vingine ambavyo avikuwa na uwezo kujiendesha ndo wahanga wakubwa wa hili jambo, unapokenua kwamba mmeshinda ni ujinga wa kiwango cha lami
huyo mtu wenu hata kumi hajatoa kazi mnayoWewe jamaa fala sana,milioni 10 kwa timu ni milioni 200 tu GSM afirisike kwa sababu ya m 200!Yanga wala atukutaka ule udhamini maana ulikua unampunguzia nguvu huku sasa ndio mjiandae maana msidhanie na sisi atutaki yale magoli ya offside na penalty za mchongo,tunaanza na sisi
View attachment 2111465
pesa hana, kwenye udhamini wa ligi hajatoa hata senti 🚮🚮🚮🚮Wanainunua Yanga.
Wanachama wa Yanga wakifika laki 3 nchi nzima, hiyo ni bilioni 10 cash.
Zoezi linaenda vizuri, na Yanga inanunulika sasa kwanini wahangaike na watu vichwa maji?
Hujaelewa <> ujaelewaMi mjinga wewe ni taahira, umeambiwa tuko Necta hapa, kitu gani ujaelewa? Rubbish!!!
andika vizuri au ni wenge la jsmHakina Jemedari na wenzake wamesema wataxhukua nafasi ya udhamini ya GSM
Babra arakomboa Sana soka letu dhini viongozi wachumia matumbo wa tff, natamani angegombania uenyekiti wa TFF naimani tungeshashiriki hata afcon mbiliNa bado kuna vitoga vingine vime miss kwenye picha
Vyote vinabembea kwenye msuli wa mwanamke mmoja
GSM kajikopesha kieeeekieeeeekieeee
ndo shida ya ussm hivi walijua wanapeleka mswada kwahali ya dharula bungeni ili upitishweKampuni ya GSM imetangaza kujiondoa udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania NBC Premier League ikielezwa sababu ni TFF na Bodi ya Ligi Kuu kutotimiza makubaliano ya kimkataba.
NB: Isiishie kujiondoa udhamini tu.. Nadhani mamlaka husika ianze mara moja kuchunguza kuhusu huu mkataba kati ya GSM na TFF na Bodi ya Ligi Kuu
Lazima kuna jambo lisilo la kawaida ambalo huenda ingeathiri afya ya michezo kwa ujumla.
Asante TFF pamoja na Bodi ya Ligi kuitema Ndoano..!
Wacha inyeshe tuone panapovuja
wewe team ndogo ndio zinaumia.
Umemsikia M/kiti wa Bodi ya Ligi Kuu akihojiwa na Wasafi FM, Steven Mguto.
Anasema 'Toka kusaini mkataba ni miezi mitatu sasa vilabu havijalipwa chochote na wanasubiri wanasheria wao kulipitia hilo.'
Sasa wee Punguani wa Akili unakuja hapa na kubana pua team ndogo zinaumia.. Yaani Uumie Kitu Ambacho Hukupata...?!
Mashabiki ya nyau hayanaga akili, yaani sare 3 ndiyo kupoteza Dora huko?Takwa moja wapo lilikua kuuziwa kombe la NBC, lakini baada ya kuanza kushona sare, huku mnyama akija kwa kasi wakaona isiwe tabu ngoja waombe hela zao
Hapa kinachoumia zaidi ni soka ya Tanzania kwani timu ndogo zinasaidia kulea vipaji vya vijana ambao ndio tegemeo kwa Taifa Stars. Yanga na Simba na wengine wenye uwezo watasajiri mapro kutoka popote ambao wanawasaidia wao na si timu ya Taifa Stars.Kwaiyo wewe mbulula unafikiri nani anaumia? Gsm hana cha kupoteza ela yake ataielekeza kwingine, tff,bodi ya ligi na vilabu vingine ambavyo avikuwa na uwezo kujiendesha ndo wahanga wakubwa wa hili jambo, unapokenua kwamba mmeshinda ni ujinga wa kiwango cha lami