Ni GSM.Source
Uliza swali jingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni GSM.Source
Umepunguza sanaMkuu, Ligi Kuu haijanza msimu huu, ukisema hivyo maana yake unataka kusema kuwa udhamini wa GSM ndo unaondoa hayo yote uliyoyataja?
Gharib kajiuzulu stars,focus kubwa sasa inakuja kwa Yanga,binafsi naombea GSM ijitoe kudhamini namungo na coastal ili wadili na Yanga tuHaikuwa ya Yanga, ila ya GSM. Mpunga hautarudi maana ameshaharibu jezi za madogo
Pathetic fool[emoji706][emoji706][emoji706]Unaonesha ulivyo na utindio wa ubongo! nut case.!
Ni team gani iliyogomea udhamini zaidi ya simba ya mudi?
Mkataba wenye kuridhisha kivipi ikiwa team zingine zote zilikubali kasoro simba au mpaka mudi aridhike?
Swala la kusema GSM alikuwa wapi kwani NBC pia alikuwa wapi?
Unaonesha wazi roho ya kwanini ya kitanzania wengine wakose kisa wewe hutaki, punda kabisa.
Siyo Maskini kama wewe mkuu GSM anafedhaSABABU ZA JIESIEM KUONDOLEWA KWENYE UDHAMINI WA LIGI KUU TANZANIA.
1. CAF.
Shirikisho la soka Afrika limeiandikia barua TFF kuwaonya kwa kushiriki uhuni kwenye mpira wa miguu. Hii inatokana na namna mwenendo wenyewe wa ligi unavyoenda, yaani timu yenye ushindani na Yanga inafanyiwa figisu nyingi sana nje ya uwanja.
Na baada ya JIESIEM hawa kujitoa tayari Yanga imeanza kusuasua kwani jiesiem anakosa nguvu ya moja kwa moja kwa timu ndogo. Ama niweke wazi ni kuwa katika 2.5B,JIESIEM walibakia na 500M ili kuzipa ruzuku timu ndogo pale zinapokutana na Simba.
2. 500M zinaelekea kuisha na ndio kwanza round ya 2 bado
Hapa nampa kongole sana jiesiem kwani ameng'amua mapema kuwa akiendelea kutoa zile 10M ili simba ifungwe au Yanga ishinde basi atafilisika, hivyo amebaki ma change ya 17.8M
Hela hana na bora Yanga wamwombe Fred Vunja bei aje awe mdhamini wa timu. Sio lazima wote wawe wadhamini wa Ligi letu NBC anatosha, wengine wawe mashabiki tu. Hivi utofauti wa GSM na Fred Vunja Bei ni nn? Wote wanamaduka ya jersey na wote wanadhamini timu. Ila wote hao wanatofautiana sana na Mo Dewj kwanza Mo tirionea,Fred V ni bilionea na jiesiem ni elfumiaSiyo
Siyo Maskini kama wewe mkuu GSM anafedha
Nyauba mmoja toka mbele yangu.Pathetic fool[emoji706][emoji706][emoji706]
SABABU ZA JIESIEM KUONDOLEWA KWENYE UDHAMINI WA LIGI KUU TANZANIA.
1. CAF.
Shirikisho la soka Afrika limeiandikia barua TFF kuwaonya kwa kushiriki uhuni kwenye mpira wa miguu. Hii inatokana na namna mwenendo wenyewe wa ligi unavyoenda, yaani timu yenye ushindani na Yanga inafanyiwa figisu nyingi sana nje ya uwanja.
Na baada ya JIESIEM hawa kujitoa tayari Yanga imeanza kusuasua kwani jiesiem anakosa nguvu ya moja kwa moja kwa timu ndogo. Ama niweke wazi ni kuwa katika 2.5B,JIESIEM walibakia na 500M ili kuzipa ruzuku timu ndogo pale zinapokutana na Simba.
2. 500M zinaelekea kuisha na ndio kwanza round ya 2 bado
Hapa nampa kongole sana jiesiem kwani ameng'amua mapema kuwa akiendelea kutoa zile 10M ili simba ifungwe au Yanga ishinde basi atafilisika, hivyo amebaki ma change ya 17.8M
Kwahiyo unapingana na ukweli?Kwa hiyo mpira wa nchii hii ni simba sio? Maana timu zote itabidi zifate kile simba inataka.
Kwenye mambo magumu na maamuzi ya mpira wa nchi itabidi club ya simba iwe inaviwakilisha vilabu vyote 15 maana vyenyewe vinapelekwa tu.
Aliyewahi kuhisi uwepo wa jiesiemu kwenye Ligi lete anyoshe kidole, vinginevyo jiesiem waache kutafuta sifa za kijinga kwani wanawezaje kujitoa kwenye kitu ambacho hawakuwepo? Hii kampuni chongo ya kutengeneza folonya za magodoro imevurugwa zaidi ya Yanga yenyewe. Eti TFF haijasimamia kuhakikisha refa wanaikandamiza Simba nq badala yake wameona akipeta dhidi ya Tanzania Prisons na Mbeya kwanza. Huku Yanga ikisare na Mbeya City huku kukiwa na uwezo wa kutimiza makubaliano yao. Engineer akiwabwatukia tff na kuwaambia kwa hasira NAJITOAAAA. Video hapa inakataa ku upload ila nitawapa
ww kwa jiesiem ni bora ya vunja bei. Jiesiem hana hela na alikuwepo kipindi ligi letu linaendeshwa bila mdhamini ila walikaa kimya kwa kuwa hela hamna. Sasa wamemuuza tu Kisinda kwa milioni 40 wakaenda kuombea mkopo kwa Mobank na wakapewa 3B na hizo zikawa zinawazuzua. Hawajawahi kushika 3B na hata magari yao ni spacio,harier,rav4 na skudo. Ingekuwa mafolonya yanalipa basi hata vunja bei angekuwa anaagiza toka huko China.TFF na TPLB ,haya nd matokeo ya malezi mnavyovipa vilabu vikubwa viwil hapa bongo.. vilabu vnavunja matakwa y kimkataba ,vnaamua vivae ama visivae jezi yenye nembo y mdhamini ,vingine vinadiriki kuweka masharti ya kubadilisha na rangi ya logo ya mdhamini!
Kwani alianza kudhamini kuanzia lini? Yaani hata round ya kwanza haijaisha mnataka kujifanya kuna alichosaidia kwenye timu ndogo.Kumbuka wanaoenda kuumia nitimu zachini,kwahiyo pesa ikipunvua unajua vilabu vinakuwa na hali gani.
🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐍🐍🐍🐍🐍🍃[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] weka video tuone
Wanainunua Yanga.GSM aliona haiwezi kupata popularity kupitia Utopolo FC ikaona itumie mgongo wa Simba kabla ya kushtukiwa na CEO mwenye akili nyingi kawafurumusha.