Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Simba SC ni Klabu Kubwa na Bora Afrika.Unaonesha ulivyo na utindio wa ubongo! nut case.!
Ni team gani iliyogomea udhamini zaidi ya simba ya mudi?
Mkataba wenye kuridhisha kivipi ikiwa team zingine zote zilikubali kasoro simba au mpaka mudi aridhike?
Swala la kusema GSM alikuwa wapi kwani NBC pia alikuwa wapi?
Unaonesha wazi roho ya kwanini ya kitanzania wengine wakose kisa wewe hutaki, punda kabisa.
Hizo Klabu zote role model ni Simba SC.
NBC wamefuata taratibu nimeshakujibu ila kwa kuwa wewe ni Kinega ndo hivyo tena.. Period