Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Amerudishiwa hela yake? Au imekwenda na maji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amerudishiwa hela yake? Au imekwenda na maji?
Afisa Biashara Mkuu wa GSM, Alan Chonjo amezungumza kwa niaba ya uongozi wa GSM na kusema kuwa wamejiondoa katika nafasi ya udhamini mwenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Ameeleza kuwa sababu kubwa ya kujiondoa ni kutokana na yaliyotokea baina ya TFF na Bodi ya Ligi, ikumbukwe kuwa lengo lilikuwa ni kukuza tasnia ya michezo, na GSM ilifanya hivyo kama mdau kukuza tasnia ya mpira wa miguu.
“Maamuzi ya kujitoa hayakuwa maamuzi mepesi kwetu, lakini tumeamua kuchukua maamuzi magumu. Tunawatakia kila la kheri na tutaendelea kuacha milango wazi kwa ajili ya kukuza mchezo wa soka Tanzania,” amesema.
Masharti na vigezo kuzingatiwaAmerudishiwa hela yake? Au imekwenda na maji?
Kwa hizo milioni 3.5 kwa mwezi? Wacha uzwazwaHahaha angalau timu ziliweza toa ushindani kwa timu kubwa, yanaenda kujirudia ya timu A kukodiwa fuso na timu B alafu wanaipiga 8 bongo ngumu mno
Kwaiyo wewe mbulula unafikiri nani anaumia? Gsm hana cha kupoteza ela yake ataielekeza kwingine, tff,bodi ya ligi na vilabu vingine ambavyo avikuwa na uwezo kujiendesha ndo wahanga wakubwa wa hili jambo, unapokenua kwamba mmeshinda ni ujinga wa kiwango cha lamiAnaposikia Mabingwa wa Nchi awe anaelewa
Unauhakika GSM alizitoa hizo pesa.Kwaiyo wewe mbulula unafikiri nani anaumia? Gsm hana cha kupoteza ela yake ataielekeza kwingine, tff,bodi ya ligi na vilabu vingine ambavyo avikuwa na uwezo kujiendesha ndo wahanga wakubwa wa hili jambo, unapokenua kwamba mmeshinda ni ujinga wa kiwango cha lami
Basi Mwamedi kiroho kimempoa sasa
kushney babu jiiiii 😹😹😹😹Kwaiyo wewe mbulula unafikiri nani anaumia? Gsm hana cha kupoteza ela yake ataielekeza kwingine, tff,bodi ya ligi na vilabu vingine ambavyo avikuwa na uwezo kujiendesha ndo wahanga wakubwa wa hili jambo, unapokenua kwamba mmeshinda ni ujinga wa kiwango cha lami
Tff inapaswa kuwa na vipengele vya kuwabana wadhamini uchwara Kama hawa. Lasivyo ligi Yetu itachezewa SanaKupitia mkutano na wanahabari uliofanyika jioni ya leo, kampuni ya GSM imetangaza kujitoa katika udhamini wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania BaraView attachment 2111438
Huna akili mbwa wewe team ndogo ndio zinaumia.Tuliwaambia huu ujanja hauwezi kudumu..Naona wenyewe baada ya kupima maji kwa kidole wameamua kutema Ndoano.