GSM yatangaza kujiondoa kwenye udhamini mwenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara

GSM yatangaza kujiondoa kwenye udhamini mwenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Mwamedi ana roho mbaya Sana imejaa uhindi mwingi sana.

Huu udhamini anadhani anaikomoa yanga kumbe anazikomoa team ndogo zinajiendesha zenyewe tu,

Hata alikiba na kile kinywaji alichokuwa partner mudi alienda kuharibu na kumchomea utambi..

Soka la bongo ni kichefuchefu sana
kwahaya maumivu muone daktari upesi sana

0C6BFA7A-709C-491B-AFE0-111617C8EBDF.png
 
Mwamedi ana roho mbaya Sana imejaa uhindi mwingi sana.

Huu udhamini anadhani anaikomoa yanga kumbe anazikomoa team ndogo zinajiendesha zenyewe tu,

Hata alikiba na kile kinywaji alichokuwa partner mudi alienda kuharibu na kumchomea utambi..

Soka la bongo ni kichefuchefu sana
Unaongea kitu gani wewe Punguani wa Akili..! MO anahusika kwa namna gani?


Kwani tangu Ligi Kuu kuasisiwa Ligi Kuu wamepita wadhamini wangapi? Unatakiwa mkataba wenye tija na vilabu vyote kikanuni na kisheria kama NBC.

Halafu mbona Ligi Kuu imewahi kuendeshwa bila mdhamini ulikuwa wapi wakati huo?
 
Sisi tulisema GSM ana upaja mdogo hana msuli wa kutunishiana na club kubwa kama simba

Nafikiria tu hapa ile invitation ya babra kule afcon na viongozi wa juu CAF ina percent kubwa katika kufumua hiki kimkataba
 
SABABU ZA JIESIEM KUONDOLEWA KWENYE UDHAMINI WA LIGI KUU TANZANIA.
1. CAF.
Shirikisho la soka Afrika limeiandikia barua TFF kuwaonya kwa kushiriki uhuni kwenye mpira wa miguu. Hii inatokana na namna mwenendo wenyewe wa ligi unavyoenda, yaani timu yenye ushindani na Yanga inafanyiwa figisu nyingi sana nje ya uwanja.

Na baada ya JIESIEM hawa kujitoa tayari Yanga imeanza kusuasua kwani jiesiem anakosa nguvu ya moja kwa moja kwa timu ndogo. Ama niweke wazi ni kuwa katika 2.5B,JIESIEM walibakia na 500M ili kuzipa ruzuku timu ndogo pale zinapokutana na Simba.

2. 500M zinaelekea kuisha na ndio kwanza round ya 2 bado
Hapa nampa kongole sana jiesiem kwani ameng'amua mapema kuwa akiendelea kutoa zile 10M ili simba ifungwe au Yanga ishinde basi atafilisika, hivyo amebaki ma change ya 17.8M
Wewe jamaa fala sana,milioni 10 kwa timu ni milioni 200 tu GSM afirisike kwa sababu ya m 200!Yanga wala atukutaka ule udhamini maana ulikua unampunguzia nguvu huku sasa ndio mjiandae maana msidhanie na sisi atutaki yale magoli ya offside na penalty za mchongo,tunaanza na sisi

Screenshot_20220207-155038_Instagram.jpg
 
Kwaiyo wewe mbulula unafikiri nani anaumia? Gsm hana cha kupoteza ela yake ataielekeza kwingine, tff,bodi ya ligi na vilabu vingine ambavyo avikuwa na uwezo kujiendesha ndo wahanga wakubwa wa hili jambo, unapokenua kwamba mmeshinda ni ujinga wa kiwango cha lami
GSM anatakiwa kuwa mdhamini kwa kufuata taratibu.
 
Unaongea kitu gani wewe Punguani wa Akili..! MO anahusika kwa namna gani?


Kwani tangu Ligi Kuu kuasisiwa Ligi Kuu wamepita wadhamini wangapi? Unatakiwa mkataba wenye tija na vilabu vyote kikanuni na kisheria kama NBC.

Halafu mbona Ligi Kuu imewahi kuendeshwa bila mdhamini ulikuwa wapi wakati huo?
Unaonesha ulivyo na utindio wa ubongo! nut case.!

Ni team gani iliyogomea udhamini zaidi ya simba ya mudi?
Mkataba wenye kuridhisha kivipi ikiwa team zingine zote zilikubali kasoro simba au mpaka mudi aridhike?

Swala la kusema GSM alikuwa wapi kwani NBC pia alikuwa wapi?

Unaonesha wazi roho ya kwanini ya kitanzania wengine wakose kisa wewe hutaki, punda kabisa.
 
Tff inapaswa kuwa na vipengele vya kuwabana wadhamini uchwara Kama hawa. Lasivyo ligi Yetu itachezewa Sana
Au kwasababu Simba kamtunishia msuli GSM na akamkazia TFF na wao lengo lao kubwa ilikuwa kumtumia Simba kama mtangazaji wao wa logo yao huko mataifani au Duniani.?
 
Sisi tulisema GSM ana upaja mdogo hana msuli wa kutingishana na simba

Nafikiria tu hapa ile invitation ya babra kule afcon na viongozi wa juu CAF ina percent kubwa katika kufumua hiki kimkataba
Onyesha invitation hapa,makolo mjiandae hasa na huku kujitoa GSM,mwanzo atukutaka maana zingekua kelele za mdhamini mwenza lkn hizi propaganda zenu huku nyie match 11 penalty 8 magoli ya offside 4 now tunaingia vitani wote,kadu juzi kajiapiza watafanya vyovyote kolo awe bingwa ndio tutaona sasa
 
Takwa moja wapo lilikua kuuziwa kombe la NBC, lakini baada ya kuanza kushona sare, huku mnyama akija kwa kasi wakaona isiwe tabu ngoja waombe hela zao
Vichenchi vyenyewe vya kuzugia na tayari hapo lazima kuna kampasuko ndani ya club kanaendelea kimya kimya

Kuna mambo mengi yatakuwa yanaendelea ila kwakua sio mengi yanagusa umma tunakosa access ya kuyasikia. Hili la udhamini ni kwakua lilianza public wamekosa namna ya kuli shut down kimya kimya
 
Mwamedi ana roho mbaya Sana imejaa uhindi mwingi sana.

Huu udhamini anadhani anaikomoa yanga kumbe anazikomoa team ndogo zinajiendesha zenyewe tu,

Hata alikiba na kile kinywaji alichokuwa partner mudi alienda kuharibu na kumchomea utambi..

Soka la bongo ni kichefuchefu sana
Acha makasiriko kaongee ya jiiisssmm mo anahusikaje hapo?
 
Huna akili mbwa wewe team ndogo ndio zinaumia.
Kocha Luc alishakuita tangu kitambo kuwa wewe ni katika wale Mbwa, Nyani.

Hii Ligi Kuu ni Kitambo Sana Ipo na Itaendelea, acha kutubania pua hapa eti timu ndogo zinaumia, uliwapandisha wewe Ligi Kuu, unajua gharama za kupanda Ligi Kuu?

Kwahivyo nenda mstuni huko hapa hapakufai huna ujualo..? Punguani wa Akili.
 
Wewe jamaa fala sana,milioni 10 kwa timu ni milioni 200 tu GSM afirisike kwa sababu ya m 200!Yanga wala atukutaka ule udhamini maana ulikua unampunguzia nguvu huku sasa ndio mjiandae maana msidhanie na sisi atutaki yale magoli ya offside na penalty za mchongo,tunaanza na sisi

View attachment 2111465
Kwa hiyo jiesiemu alitumia 200M tu kuidhoofisa na kuinufaisha Yanga katika ligi na ni ushahidi wako pia jiesiem asingeweza kufilisika kwa 200M tu?
 
Sasa hivi wamepata kisingizio kila kitu kidogo watasema Simba anabebwa na TFF

Halafu wasifanye watu wajinga , Babra kalalamika TFF kwamba udhamini wa GSM unavunja sheria TFF wamelimwa barua imebidi wamwambie GSM jiuzulu
 
Dili limebuma, hv kama simba kagoma kwann aaidhamini vilabu vingne!!
 
Kocha Luc alishakuita tangu kitambo kuwa wewe ni katika wale Mbwa, Nyani.

Hii Ligi Kuu ni Kitambo Sana Ipo na Itaendelea, acha kutubania pua hapa eti timu ndogo zinaumia, uliwapandisha wewe Ligi Kuu, unajua gharama za kupanda Ligi Kuu?

Kwahivyo nenda mstuni huko hapa hapakufai huna ujualo..? Punguani wa Akili.
Hujajibu maswali yangu badala yake unaleta vichambo kama malaya wa instagram..

Unazidi kuonyesha umaskini na chuki isiyo na sababu,
Haya wewe pia ulichangia nini hizo Team kupanda daraja mpka ligi kuu?

Siwezi kukuacha nyauba wewe jf ya mumeo au?
 
Back
Top Bottom