GSM yatangaza kujiondoa kwenye udhamini mwenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara

GSM yatangaza kujiondoa kwenye udhamini mwenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Onyesha invitation hapa,makolo mjiandae hasa na huku kujitoa GSM,mwanzo atukutaka maana zingekua kelele za mdhamini mwenza lkn hizi propaganda zenu huku nyie match 11 penalty 8 magoli ya offside 4 now tunaingia vitani wote,kadu juzi kajiapiza watafanya vyovyote kolo awe bingwa ndio tutaona sasa
Ona kumbe hata hujui kuwa Patrice Motsepe ambaye ndio raisi wa CAF alitoa mualiko kwa CEO babra?

Tatizo lako source unayoitembelea kupata updates ni page ya manara, unafikiri taarifa kama hii anaweza kupost?
 
.
GSM kajitoa sababu ya Simba Sc?
Au GSM kajitoa sababu ya utekelezwaji wa kimkataba baina yake na waliongia nao mkataba?
.
GSM anaonekana ameweka pesa ligi kuu kwa manufaa ya Yanga au kuiua Simba kiushindani au kuzinufaisha timu 16 za ligi?
.
GSM hii proposal ya Udhamini wenza aliiomba yeye tenda au aliombwa kudhamini?
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikuwa wanajiendesha ama Wana endeshwa unasahau kuna timu zilikuwa zinapewa nauli na timu nyingine na wanakuja pigwa goli 8

Unasahau kuna timu zilikuwa hazifiki kabisa uwanjani
Mkuu, Ligi Kuu haijanza msimu huu, ukisema hivyo maana yake unataka kusema kuwa udhamini wa GSM ndo unaondoa hayo yote uliyoyataja?
 
Umesoma hiyo barua ya kujiondoa kwao?? Nakushauri uisome, ila kwa ufupi wamesema wamejiondoa kwakua baadhi ya vipengele walivyoafikiana havitekelezwi na upande wa pili.
 
Kupitia mkutano na wanahabari uliofanyika jioni ya leo, kampuni ya GSM imetangaza kujitoa katika udhamini wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania BaraView attachment 2111438
Kulikuwa na mantiki gani GSM ambao ni wadhamini wa yanga kuweka background nyekundu kwenye press yao wakati yanga waligomea kuvaa nembo ya NBC nyekundu kwenye jersy yao?
 
Umesoma hiyo barua ya kujiondoa kwao?? Nakushauri uisome, ila kwa ufupi wamesema wamejiondoa kwakua baadhi ya vipengele walivyoafikiana havitekelezwi na upande wa pili.
So Kwa Lugha Ya Kisheria ni Kwamba Kuna Vipengele Kwenye Ile Contract Haviwezi Kuwa Executed Kwa Jiesiemu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unanikoti mara mbili mbili huna uhakika na unachojibu.
Umejibu vichambo tu kama malaya wa buza..!

Kaa hapa uongee na matahira menzio am done..!

Naona sindano imeingia mahala pake sasa, nimejibu kulingana ulivyo uliza huo Uwehu Wako..Azam TV NBC wote wamefuata taratibu za Kimkataba.

Sasa si sijui unapata WENGE la nini..! Ukiona Huelewi Jua Kuwa Lipo Nje ya Uwezo Wako........Period
 
Umesoma hiyo barua ya kujiondoa kwao?? Nakushauri uisome, ila kwa ufupi wamesema wamejiondoa kwakua baadhi ya vipengele walivyoafikiana havitekelezwi na upande wa pili.
Sahihi
.
Sasa kwanini tusingehoji kuainishwa kwa hivyo vipengele na kujuzwa vimeshindikanaje kabla ya kutaka kuhusianisha na Simba na Yanga?
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mtu anakwepa kulipa kodi bandarini halafu anadhamini ligi kwa fedha haramu.

What a shame , a shame a shame.
 
Kampuni ya GSM imetangaza kujiondoa udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania NBC Premier League ikielezwa sababu ni TFF na Bodi ya Ligi Kuu kutotimiza makubaliano ya kimkataba.

NB: Isiishie kujiondoa udhamini tu.. Nadhani mamlaka husika ianze mara moja kuchunguza kuhusu huu mkataba kati ya GSM na TFF na Bodi ya Ligi Kuu

Lazima kuna jambo lisilo la kawaida ambalo huenda ingeathiri afya ya michezo kwa ujumla.

Asante TFF pamoja na Bodi ya Ligi kuitema Ndoano..!
Bado unahitaji chunguzi tu hii nchi,chunguzi ngapi ambazo zilisha kuja na majibu na matokeo ukayaona?
 
Kwa hiyo mpira wa nchii hii ni simba sio? Maana timu zote itabidi zifate kile simba inataka.
Kwenye mambo magumu na maamuzi ya mpira wa nchi itabidi club ya simba iwe inaviwakilisha vilabu vyote 15 maana vyenyewe vinapelekwa tu.
 
Tuliwaambia huu ujanja hauwezi kudumu..Naona wenyewe baada ya kupima maji kwa kidole wameamua kutema Ndoano.
Kumbuka wanaoenda kuumia nitimu zachini,kwahiyo pesa ikipunvua unajua vilabu vinakuwa na hali gani.
 
Back
Top Bottom