dah, max we ni chaputa mtupu aiseeHuyu Lucia atakua my fav character.
Duh hakika nimecheka kwa kweli ebu fanya mpango utafute demu akupoze machungu maana unapoelekea huko utakuwa ukiona sabuni tu inaoshewa vyombo wewe ni mbio bafuni.Jamani nyeto taacha ha kweli???
Yaaah mkuu graphics kama hizo ndo hutumika hata kwenye baadhi ya movie....Ova movie aisee
Yaaah majamaa wanajua mno...CGI muhimu. Kuna baadhi aya scenes haziigiziki inabidi watu wa IT wahusike
Oya nyeto kuacha ngumu kwa zama hiziNitakua nashinda strip club kwenye game tu