Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauliza hivi? lile liungo na decoder(sijui kama inaandikwa hivi) litakuwa na kazi gani tena? unaweza ukanunua receiver uakalitumia kwa kutumia ule ungo? au kwa ufupi unaweza kutumia kwa njia nyingine? je kama halina kazi tena unawza ukarudisha na wakakulipa hela zako?
Ndugu zangu Watanzania, tunaelekea wapi? Mashirika au makampuni yanasitisha huduma zake bila wananchi kuelezwa. Nimepokea kwa mshtuko kutoka kwenye vyombo vya habari kuwa kampuni ya DSTV imefunga huduma zake hapa Tanzania na kwingineko Afrika. Je ina maana hii kampuni haikujua kwamba imefilisika au itasimamisha huduma zake karibuni au ni makusudi? Nimesikia hata juzi kama si wiki iliyopita walikuwa wakifanya kazi kama kawaida? Je hatima ya waliolipia huduma mbalimbaili zikiwemo za kuangalia au kuonyesha michezo mbalimbali ikiwemo mipira hatima yao itakuwaje? Je kitendo cha kihunihuni kama hicho kitokeapo sheria inasemaje au itamlindaji alieonewa?
C gtv pekee kumbe hata dstv ?
Ndugu zangu Watanzania, tunaelekea wapi? Mashirika au makampuni yanasitisha huduma zake bila wananchi kuelezwa. Nimepokea kwa mshtuko kutoka kwenye vyombo vya habari kuwa kampuni ya DSTV imefunga huduma zake hapa Tanzania na kwingineko Afrika. Je ina maana hii kampuni haikujua kwamba imefilisika au itasimamisha huduma zake karibuni au ni makusudi? Nimesikia hata juzi kama si wiki iliyopita walikuwa wakifanya kazi kama kawaida? Je hatima ya waliolipia huduma mbalimbaili zikiwemo za kuangalia au kuonyesha michezo mbalimbali ikiwemo mipira hatima yao itakuwaje? Je kitendo cha kihunihuni kama hicho kitokeapo sheria inasemaje au itamlindaji alieonewa?