Guardiola alimsajili Akanji dakika za mwisho kuficha aibu ya ubaguzi wa rangi

Guardiola alimsajili Akanji dakika za mwisho kuficha aibu ya ubaguzi wa rangi

Mbete CB katoka academy na pep kamuamin saiz yupo kikosi Cha kwanza Cha city
josh.esbrand-20220903-0001.jpg
 
Huyu Kocha na Meneja wa Manchester city ni mbaguzi sana kwa wachezaji waafrika. Mtasema Riyad Mahrez muafrika ndiyo katoka Africa Algeria lakini siyo mwafrika.

Guardiola ni Kocha mzuri sana na anakipaji cha ukocha cha aina yake. Tatizo lake ni mbaguzi.

Kawatimua waafrika Fernandinho, Jesus na Sterling kwa makusud tu Ili timu iwe na weupe tupu. Kambakisha Ake huyu dogo wa Uholanzi kwasababu ni mwafrika koko.

Samuel Etoo na Yahya Toure walishawahi kumlalamikia sana Pep kwa hii tabia yake ya ubaguzi. Na siyo kina Etoo tu bali watu wengi.

Kwa aibu akaamua kumsajili dakika za mwisho kabla mlango wa usajili kufungwa beki mwafrika hatariiii kutoka Borrusia Dortmund raia wa Uswiz mwenye asili ya Nigeria Manuel Obafemi Akanji kutuliza kelele nyingi.


Kwa usajili huu Man City wamepata mlinzi beki moja matata sana. Lakini hata hivyo hatujaridhika tunataka waafrika weusi pure Man city japo Akanji mama yake mzungu angalau tunapata faraja mshua wake ni mmatumbi.

Pep licha ya kipaji chako cha ukocha acha ubaguzi.View attachment 2343686
Akili huna ungekuwa kocha ungeshafukuzwa

Frenandinho miaka 35 ana msaada gani kwenye team?

Steering anavyokosa magori ungembakiza?


Sana aliuzwa akiwa kwenye peak , Guadiora haabudu mchezaji kama unaondoka ondoka tu.
 
Berbers ni Waafrika halisi Ethiopians ni Waafrika halisi Mwafrika sii lazima uwe mweusi hebu waangalie San Bushmans

Hoja yako haina mashiko.

Hata jina Afrika asili yake ni Wayunani wa kale na Warumi [emoji116]

In antiquity the Greeks are said to have called the continent Libya and the Romans to have called it Africa, perhaps from the Latin aprica (“sunny”) or the Greek aphrike (“without cold”).
Uongo na utapeli
 
Kamfukuza Jesus ? Jesus ni mwafrika ?

Kamfukuza sterling ,unahakika kweli wewe Mbwa kuwa sterling kafukuzwa ? Hivi sterling ni mwafrika ? ,Hata Kama ni rangi ,unamjua mbete ,huyu Ni CB amaetoka academy mbona hajabaguliwa ? Kuna josh Wilson huyu ni CB mwingine na yupo kwenye kikosi Cha city ni black mbona hajabaguliwa ,hivi wewe Mbwa unaijua man city kweli ? Unafikili akanji ni mchezaji pekee yake mweusi koloo wewe makalio meusi Kama Tako la bunduki....

Vip zincheko mbona hujasema kafukuzwa au kauzwa ? Mbona unakuwa Kama makalio wewe kenge ,inamaana pep Kila analofanya anabagua wachezaji ,mbona hajawahi kumbagua Mendy ?

Wewe ni mjinga na hufuatiliii mpira ,ni mtu wa kupuuzwa tu hujielewi .....

Achana na pep wewe ,fanya Mambo mengine mbwa Koko wewe ,hujui lolote kuhusu mpira ....
Hao akina zinchenko wanaondoka kwa hiari kwasababu ni mizungu.
 
 
Binadamu anapenda kukaa pazuri tu au kwenye mafanikio 😄 mbona husemi ubaguzi norwich city au burnely walioshuka daraja
Mkuu hivi Norwich city na burnely kulikuwa hamna wachezaji wamatumbi kweli?
 
Back
Top Bottom