Guardiola ameiumbua E.P.L

Mapema mno.
 
Siyo kweli!!.... Hajakutana na Big sam akiwa na timu,Hajakutana na Allan Pardew Akiwa na Timu....nnachotaka kukwambia ni hivi kwa England bado Usimuhesabie kama ni bingwa huyo Ligi bado sana hiyo
 
Siyo kweli!!.... Hajakutana na Big sam akiwa na timu,Hajakutana na Allan Pardew Akiwa na Timu....nnachotaka kukwambia ni hivi kwa England bado Usimuhesabie kama ni bingwa huyo Ligi bado sana hiyo
Yawezekana,lakini jamaa anajua,tukiondoa mambo mengine
 
Watu wanaosema et ligi bado mmeona mpira anaocheza man city kweli?jamaa anapiga mpira kuliko timu yoyote hapo na hamna aliomfikia kwa mpira anaopiga.ushindi wake sio wa kibahati huyu jamaa analitaka hili kombe kufa kupona na hatolikosa in anymeans wachezaji wake wana njaaa kuliko wachezaji wote epl.
 
Ki ukweli Pep anajua hilo halipingiki. Ila napata kigugumizi kuamini kwamba anaweza kumaliza ligi hajapoteza hata game moja.

UEFA, EPL, Carabao, FA

Hata wachezaji wenyewe siyo vyuma wale watachoka. Hizo rekodi ziliwekwa kitambo si kwa sasa na EPL hii. Kuhusu ubingwa ana asilimia kubwa mpk sasa lakini mechi bado ni nyingi mno. Time Will Tell
 
Sawa pamoja na kugawa vipigo mfululizo,lakini bado nsiona mancity sio timu stable moja kwa moja.
Lazima huko mbele kuyatokea badiliko
 
Mleta hana kumbukumbu vizuri ya mpira wa ulaya. Huyo guardiola alikula kichapo KWA Chelsea drodga akitupia, kule KWAo tulitoka mbili mbili, Chelsea tuichukua ndoo ya ulaya, huyo guardiola yupo. Hata msimu uliopita, sisi Chelsea jiwe la uingereza tulimgonga nje ndani, tena pale KWAo alikula tatu moja, tena walianza kutufunga sisi, hii timu imetumia FEDHA nyingi kusajiri wachezaji wazuri tu
 
watu kukiri tu kuwa pep anajua anachokifanya wanaona kama watapungukiwa damu [emoji23] [emoji23] .

ila ndo ukweli huo jamaa anajua na ni kocha mzuri sana.

naanza kuona man city ikipata mashabiki wengiiiii [emoji3] [emoji3] [emoji3] hasa kutoka Arsenal na Liverpool
 
Walisema Hajakutana na timu kubwa.
Sasaivi ngoja mzunguko wa pili
kwenye mzunguko wa pili sio timu kubwa itamfunga, namaanisha ( Man u, Chelsea, Liverpool, Arsenal ) na hawa ndio wapiga kelele.
Mzunguko wa pili utakuwa mgumu, zile bahati za wachezaji wa timu pinzani kuonyeshwa red cards, wacheji muhim kutokuwepo na magoli ya offsides hayatajirudia
 
Mashabiki wa Man U , Eti Man City kamfunga Man U kwa bahati. Mahaba niue au ulikua unaangalia Live Score au umesimuliwa kijiweni. Tusibishane sana ingia You tube tu utaona jinsi Man City walivotakata hasa second half tena alivoingia Cadabra ni zaidi na mwishoni man u ailikua anakufa kuanzia goli 2 maana walitengea clear chances nyingi na walikua wanajiamini mno. Bahati analikua nayo Man U kufungwa goli chache. Usiwe na mapenzi ya ajabu. Na kama unabisha hili nitafute tuwekeane uone jinsi Man United atakavopigwa magoli mengi mzunguko wa pili dhidi ya Man City.
 
Sasa ndugu yangu unataka kocha awe na kikosi chepesi jmn
 
Naona wengine anawapiga kwa woga wao tu, timu sio kiwango viile, wanacheza mpira wa kawaida, wanadive na wakati mwingine wanatembelea nyota ya refa
 
Kipindi icho man u ilikua inafifia bna usiiringanishe na city hii ambayo ukicheza nayo ww kazi yako ni kupunguza idadi ya magoal tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…