Guardiola ameiumbua E.P.L

Naona wengine anawapiga kwa woga wao tu, timu sio kiwango viile, wanacheza mpira wa kawaida, wanadive na wakati mwingine wanatembelea nyota ya refa
Mkuu unamaanisha refa mwaka huu ni mmoja au marefa wote wako Mancity msimu huu???
 
Ungekuwa mwanamke ungeongoza kwa talaka maana una wivu kuliko punda
 
Ngoja mzunguko wa pili uanze
Ikifika new year bado City wapo mbele kwa points 11, ndo itakuwa imetoka hiyo. Mzunguko wa pili hata ukianza, kisaikolojia hawa wengine watakuwa wameshachoka. Ofcourse City watadrop points mbele ya safari ila ndoo wanaibeba
 
Go citizens go
 

anabeba ndoo mechi tano kabla ya kuisha msimu. somebody mark this statement.
 
Uzuri mmoja EPL hutambi mara mbili, subiri mwakani uone.

Nakataa EPL sio ligi ya timu moja. kuongoza ligi haimaanishi ni timu moja. Mbona Championship group stage timu zote za EPL zimeongoza katika hayo makundi isipokuwa Chelsea ambayo nayo ni kwa sheria mbaya za UEFA ndizo zimemnyima kuwa top. Utaona mpaka semi final EPL zitatawala tu.

Uwepo wa makocha 5/6 bora duniani kwenye EPL sio mchezo bana
 
Kawaacha wenzake kwa point nyingi sijui timu gani itamzuia
11 points siyo nyingi ukichukulia kwamba ligi hata halfway haijafika! Yes, Shitty are in the best form right now, but a lot can happen, to other teams as well.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…