shamajengo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,217
- 1,432
Nimejikuta nacheka kwa sauti hiyo sehemu ya msalaba wa jumuiya da! Ila we jamaa hata kama ni ushabiki hii too much
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kocha gani A list sahizi hategemei pesa mkuu..Kwakuwa umeandika kishabiki zaidi na mahaba mazito kwa La liga, naomba nikukumbushe kuwa kuna mzunguko wa pili bado haujaanza, kumbuka msimu uliopita.
Kuhusu ubora wa Guardiola, kwangu mimi ni mtu anayetembelea michoro ya wenzake na kutegemea pesa zaidi. Timu zote alikutwa zimesukwa vyema, ni kama Vicente Del Bosque alipopewa Spain akatwaa ndoo kubwa, kazi yake kubwa ilikuwa nini?
Unasema hivyo wakati huko La liga karibia kila msimu bingwa anapatikana siku ya mwisho.nakumbuka msimu wa 2011/12 Man U walikuwa mbele kwa point 8 kumzidi Man City huku zikiwa zimebaki mechi 6 tu ligi kwisha.
badala yake ni Man City ndiye aliyebeba ndoo ya EPL.
sasa hivi Man City wapo mbele pointi 11 na mechi zimebaki zaidi ya 20.
wacha EPL iitwe EPL!
HahahaWewe unamatatizo wewe, Hujui kuwa Pep anashinda kwa bahati tu ? alimfunga Man U kwa bahati tu, amemfunga Swansea leo kwa bahati tu 4-0, ila mpira upo man U, kashinda Goli moja tu leo na Bounemouth, kachukua point tatu kashinda 1-0 , yeye hajashinda kwa bahati bali hua anapiga mpira.
Kwa ujumla Top 4 ya EPL inampira mzuri sana tatizo ni pale wanapoamua ku pack Bus,
Yaani ampige Jurgen kloop goli 5, amtandike Mourinho old trafford, ampige Conte stamford bridge..Siyo kweli!!.... Hajakutana na Big sam akiwa na timu,Hajakutana na Allan Pardew Akiwa na Timu....nnachotaka kukwambia ni hivi kwa England bado Usimuhesabie kama ni bingwa huyo Ligi bado sana hiyo
Chelsea haijawahi kuifunga barca ya guardiola goli 3 bwana, wala guardiola kuifunga chelsea akiwa Barca.Mleta hana kumbukumbu vizuri ya mpira wa ulaya. Huyo guardiola alikula kichapo KWA Chelsea drodga akitupia, kule KWAo tulitoka mbili mbili, Chelsea tuichukua ndoo ya ulaya, huyo guardiola yupo. Hata msimu uliopita, sisi Chelsea jiwe la uingereza tulimgonga nje ndani, tena pale KWAo alikula tatu moja, tena walianza kutufunga sisi, hii timu imetumia FEDHA nyingi kusajiri wachezaji wazuri tu
Pep hachukui tuu ubingwa ila anauchukua in style..Kwani bingwa mtetezi ni Nani, ni yeye????, Yaaani kufanya vizuri msimu mmoja tena ambao bado haujaisha tayari makelele yameshaanza, mnataka mumpe na ufalme kabisa, akae muda aliokaa na Barça halafu Baada ya hapo ndio uje kutoka Hiyo tathmini yako, vinginevyo utakuwa unaleta ushabiki tuuuu
Ipo tofauti ya kutofungwa mechi 15 na kushinda mechi 15 mfululizo..Ungesubili mpaka mwakani kuanzia mwezi March ndo ufungue huu uzi....kama vipigo tu unavoviongelea au kama ni kutokufungwa kwa mechi 15...basi tayari mzee Wenger alishaimbua EPL kitambo sanaaaaa...yeye alichukua ligi bila kufungwa mechi hata moja.
Pep hachukui tuu ubingwa ila anauchukua in style..
Kushinda mechi 15 mfululizo kwa ligi inayoitwa ngumu unadhani ni mchezo?
Halafu hakuna cha kupaki basi wala daladala, ni mwendo wa kushambulia tuu mwanzo mwisho
Unapokataa sio ya timu moja utuambie nani aliyeipa au anayeipa Man city challenge huko England..Uzuri mmoja EPL hutambi mara mbili, subiri mwakani uone.
Nakataa EPL sio ligi ya timu moja. kuongoza ligi haimaanishi ni timu moja. Mbona Championship group stage timu zote za EPL zimeongoza katika hayo makundi isipokuwa Chelsea ambayo nayo ni kwa sheria mbaya za UEFA ndizo zimemnyima kuwa top. Utaona mpaka semi final EPL zitatawala tu.
Uwepo wa makocha 5/6 bora duniani kwenye EPL sio mchezo bana
Ukisema hutambi mara 2... unasahau Man untd ile ya kina Cr7 ilishachukua ubingwa mara 3 mfululizoUzuri mmoja EPL hutambi mara mbili, subiri mwakani uone.
Nakataa EPL sio ligi ya timu moja. kuongoza ligi haimaanishi ni timu moja. Mbona Championship group stage timu zote za EPL zimeongoza katika hayo makundi isipokuwa Chelsea ambayo nayo ni kwa sheria mbaya za UEFA ndizo zimemnyima kuwa top. Utaona mpaka semi final EPL zitatawala tu.
Uwepo wa makocha 5/6 bora duniani kwenye EPL sio mchezo bana
weee uyo pep kunyanyasa vigogo mwisho hukoooo epl na FA, huku UEFA huku kuna wenyewe.mark my words, and subiri uone hii hatua ya 16 bora.Ki ukweli Pep anajua hilo halipingiki. Ila napata kigugumizi kuamini kwamba anaweza kumaliza ligi hajapoteza hata game moja.
UEFA, EPL, Carabao, FA
Hata wachezaji wenyewe siyo vyuma wale watachoka. Hizo rekodi ziliwekwa kitambo si kwa sasa na EPL hii. Kuhusu ubingwa ana asilimia kubwa mpk sasa lakini mechi bado ni nyingi mno. Time Will Tell
Hata hueleweki mkuu
Wewe unamatatizo wewe, Hujui kuwa Pep anashinda kwa bahati tu ? alimfunga Man U kwa bahati tu, amemfunga Swansea leo kwa bahati tu 4-0, ila mpira upo man U, kashinda Goli moja tu leo na Bounemouth, kachukua point tatu kashinda 1-0 , yeye hajashinda kwa bahati bali hua anapiga mpira.
Kwa ujumla Top 4 ya EPL inampira mzuri sana tatizo ni pale wanapoamua ku pack Bus,
Hio michoro mbona inawashinda wengine?Kwakuwa umeandika kishabiki zaidi na mahaba mazito kwa La liga, naomba nikukumbushe kuwa kuna mzunguko wa pili bado haujaanza, kumbuka msimu uliopita.
Kuhusu ubora wa Guardiola, kwangu mimi ni mtu anayetembelea michoro ya wenzake na kutegemea pesa zaidi. Timu zote alikutwa zimesukwa vyema, ni kama Vicente Del Bosque alipopewa Spain akatwaa ndoo kubwa, kazi yake kubwa ilikuwa nini?