Guardiola ameiumbua E.P.L

Nimejikuta nacheka kwa sauti hiyo sehemu ya msalaba wa jumuiya da! Ila we jamaa hata kama ni ushabiki hii too much
 
Kocha gani A list sahizi hategemei pesa mkuu..

Mpira ni pesa, kuanzia mourinho, zidane na wengineo wote angalia gharama za vikosi vyao.

Kimsingi hoja yako ya pesa haina mashiko, maana timu kibao zimesajili ikiwemo ile iliyotoa paundi milioni 70 na zaidi kupata kina lukaku na morata lakini perfomance hamna kitu.
 
Liga haijaisha lakini, kumbuka hili. Uwe na akiba ya maneno.
Tuone nani atamfunga Man city
Kengele, sio kwa hivyo vichapo anavyogawa nyumbani kwa timu zenye reputation kubwa namna ile.
 
Unasema hivyo wakati huko La liga karibia kila msimu bingwa anapatikana siku ya mwisho.

E.P.L ingekuww inatokea hivyo tungesema ama kweli ligi ngumu ila kwa vile ni la liga tunachukulia poa tuu
 
Hahaha
 
Siyo kweli!!.... Hajakutana na Big sam akiwa na timu,Hajakutana na Allan Pardew Akiwa na Timu....nnachotaka kukwambia ni hivi kwa England bado Usimuhesabie kama ni bingwa huyo Ligi bado sana hiyo
Yaani ampige Jurgen kloop goli 5, amtandike Mourinho old trafford, ampige Conte stamford bridge..

Halafu umtishie Big Sam[emoji1] [emoji1] [emoji1] .. you cant be serious!!
 
Chelsea haijawahi kuifunga barca ya guardiola goli 3 bwana, wala guardiola kuifunga chelsea akiwa Barca.

Kuna mechi iniesta alisawazisha, Barca wakapita kwa goli la ugenini, ile game nyingine Torres alipiga goli dakika ya 90+ ikawa 2-2, chelsea wakapita maana home walishinda goli 1-0.


Sasa waulize wenzako wa England, Arsenal na Man united kilichokuwa kinawatokea wakikutana na Guardiola alivyokuwa Barca
 
Pep hachukui tuu ubingwa ila anauchukua in style..

Kushinda mechi 15 mfululizo kwa ligi inayoitwa ngumu unadhani ni mchezo?

Halafu hakuna cha kupaki basi wala daladala, ni mwendo wa kushambulia tuu mwanzo mwisho
 
Ungesubili mpaka mwakani kuanzia mwezi March ndo ufungue huu uzi....kama vipigo tu unavoviongelea au kama ni kutokufungwa kwa mechi 15...basi tayari mzee Wenger alishaimbua EPL kitambo sanaaaaa...yeye alichukua ligi bila kufungwa mechi hata moja.
Ipo tofauti ya kutofungwa mechi 15 na kushinda mechi 15 mfululizo..

Kipindi wenger anatamba timu zilizokuwa kali zilikuwa ngapi, sahizi chelsea, man city, Tottenham na wengineo wanawasha moto wa hatari
 
wewe
Pep hachukui tuu ubingwa ila anauchukua in style..

Kushinda mechi 15 mfululizo kwa ligi inayoitwa ngumu unadhani ni mchezo?

Halafu hakuna cha kupaki basi wala daladala, ni mwendo wa kushambulia tuu mwanzo mwisho

Wewe ni mfia guardiola tu kama wafia guardiola wengine tuliowaona kule barca

Time will tell
 
Unapokataa sio ya timu moja utuambie nani aliyeipa au anayeipa Man city challenge huko England..

Au nitajie katika Ligi unazojua ngumu,nani anaongoza kwa pointi nyingi kama Man city
 
Ukisema hutambi mara 2... unasahau Man untd ile ya kina Cr7 ilishachukua ubingwa mara 3 mfululizo
 
weee uyo pep kunyanyasa vigogo mwisho hukoooo epl na FA, huku UEFA huku kuna wenyewe.mark my words, and subiri uone hii hatua ya 16 bora.
UEFA ndo kuna maajabu yasiyofikirika kufanyika.
 

Mkuu wazungu wana msemo wao wa "Fortune Favors the Brave".

Hapo sihitaji kuelezea zaidi.
 
Hio michoro mbona inawashinda wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…