Guardiola ameiumbua E.P.L

Guardiola ameiumbua E.P.L

point 11 bado mechi zaidi ya 20 epl ni utani kwa man city kuchukua,hii sio la liga wala ligi ya ujeruman
 
Huyu Gadiola akipewa Taifa stars ubingwa wa dunia tunachukua kabla ya saa nne asubuhi
 
Nadhani watu wengi tunakumbuka ile Barcelona ya 2009-2012 ambayo kwa wengi ni timu bora kabisa katika kizazi hiki cha soka, kuanzia ugawaji wa vipigo,kandanda safi na uwezo binafsi wa wachezaji.

Wakati Guardiola akiiongoza Barcelona kugawa vichapo vya hatari hadi kumtetemesha mzee wetu Ferguson kwenye fainali ya Uefa 2011 wengi walikuwa wanammbeza kwa kusema anacheza ligi ya timu 2, ooh mara kabebwa na messi, wengine wakasema ana bahati.

Guardiola akaondoka zake kwenda Bundesliga, huko nako akagawa vichapo vya kutosha, ila wadau wa England wakaendelea kumponda kuwa anaiogopa England maana sio size yake [emoji23](wakajisahaulisha kilichokuwa kinazikumba timu za England zilipokutana na Barcelona).

Haya sasa , mara Guardiola akaja hapo England, ni kweli msimu wa kwanza hakufanya vizuri ila wadau wa England wakatamba sana eti alidhani yupo la liga au ligi nyingine nyepesi, hii ndio England bwana, timu zote kali!!!!

Msimu wake wa pili, akaanza kwa kasi ndogo, wakaongea sana,alipoanza kugawa vichapo wakasema ngoja tumuone, hawezi fika mbali hii ndio England, mara kashinda game 10 mfululizo, akashinda nyingine 5(still counting), humo kagawa vichapo na kuupiga mpira mwingi mno ikiwemo nyumbani kwa timu vigogo kama Man untd na chelsea.

Sasa hivi England ni ligi ya timu moja tuu, Man city imegeuka kama msalaba wa jumuiya ambao unapita kila nyumba, Guardiola hajawahi kuwa na timu iliyokusanya pointi nyingi hivi ndani ya mechi 16 za kwanza, cha kushangaza huku ambapo Guardiola anajipigia tuu watu ndio tunaambiwa ni ligi ngumu lakini kule ambapo alikuwa na timu ya Dunia alikuwa hashindi hivi tunaambiwa ile ligi ni mbovu/rahisi.!!

Kinachotokea sahizi si kingine bali ni E.P.L kuumbuka, tayari Pep amejipigia vigogo wote wa E.P.L wengine kwa aibu ya goli 5....,tungojee mwisho wa msimu tuone mambo yatakuwaje ila without doubt Man city watanyanyua makwapa


Si kweli kama ameiumbua EPL, isipokuwa timu zote zinazoshindana na City haziko consistent enough. Ni kama vile mwaka jana wakati Chelsea walivyoshinda ubingwa, kila timu ilionekana vibonde hata City yenyewe ilikuwa haieleweki kipindi hicho.
 
Man City na Guardiola kiukweli ni wazuri, lakini hawajakumbana majeruhi. Sasa subirini De Bruyne na D. Silva wapate majeraha ndo utajua EPL ni sawa n La Liga au Bundesliga? Tusubiri, time will tell us.
wkt huo team zingine hawaumii wanaumia Man City tu?
 
Mashabiki wa Man U , Eti Man City kamfunga Man U kwa bahati. Mahaba niue au ulikua unaangalia Live Score au umesimuliwa kijiweni. Tusibishane sana ingia You tube tu utaona jinsi Man City walivotakata hasa second half tena alivoingia Cadabra ni zaidi na mwishoni man u ailikua anakufa kuanzia goli 2 maana walitengea clear chances nyingi na walikua wanajiamini mno. Bahati analikua nayo Man U kufungwa goli chache. Usiwe na mapenzi ya ajabu. Na kama unabisha hili nitafute tuwekeane uone jinsi Man United atakavopigwa magoli mengi mzunguko wa pili dhidi ya Man City.

Mkuu livescore huwa inakuweka update na magoli yanayofungwa tu, na kama niliangalia livescore ningejuaje man u kafungwa kibahati? Livescore nimeona possession, nimeona Goals on target sorry shorts on target, nimeona muelemewa sijui kwa kiinglish mnaita ball possession. sasa wewe unasema man u hajafungwa kibahati wakati alielemea kila mahali ambapo Paulo angelicheza asingeelemewa hivyo?

kingine mimi nabisha huo usemi wako : eti kama ninabisha man u kufungwa goli nyingi mzunguko wa pili..... nabisha kabisa maana tarehe 7 April Man U you atakuwa anapigania nafasi ya kuingia nne bora. kwahiyo atacheza sana ili asifungwe goli nyingi, atafungwa kibahati goli hizi hizi. 2-0. au wewe unabisha?
 
Nadhani watu wengi tunakumbuka ile Barcelona ya 2009-2012 ambayo kwa wengi ni timu bora kabisa katika kizazi hiki cha soka, kuanzia ugawaji wa vipigo,kandanda safi na uwezo binafsi wa wachezaji.

Wakati Guardiola akiiongoza Barcelona kugawa vichapo vya hatari hadi kumtetemesha mzee wetu Ferguson kwenye fainali ya Uefa 2011 wengi walikuwa wanammbeza kwa kusema anacheza ligi ya timu 2, ooh mara kabebwa na messi, wengine wakasema ana bahati.

Guardiola akaondoka zake kwenda Bundesliga, huko nako akagawa vichapo vya kutosha, ila wadau wa England wakaendelea kumponda kuwa anaiogopa England maana sio size yake [emoji23](wakajisahaulisha kilichokuwa kinazikumba timu za England zilipokutana na Barcelona).

Haya sasa , mara Guardiola akaja hapo England, ni kweli msimu wa kwanza hakufanya vizuri ila wadau wa England wakatamba sana eti alidhani yupo la liga au ligi nyingine nyepesi, hii ndio England bwana, timu zote kali!!!!

Msimu wake wa pili, akaanza kwa kasi ndogo, wakaongea sana,alipoanza kugawa vichapo wakasema ngoja tumuone, hawezi fika mbali hii ndio England, mara kashinda game 10 mfululizo, akashinda nyingine 5(still counting), humo kagawa vichapo na kuupiga mpira mwingi mno ikiwemo nyumbani kwa timu vigogo kama Man untd na chelsea.

Sasa hivi England ni ligi ya timu moja tuu, Man city imegeuka kama msalaba wa jumuiya ambao unapita kila nyumba, Guardiola hajawahi kuwa na timu iliyokusanya pointi nyingi hivi ndani ya mechi 16 za kwanza, cha kushangaza huku ambapo Guardiola anajipigia tuu watu ndio tunaambiwa ni ligi ngumu lakini kule ambapo alikuwa na timu ya Dunia alikuwa hashindi hivi tunaambiwa ile ligi ni mbovu/rahisi.!!

Kinachotokea sahizi si kingine bali ni E.P.L kuumbuka, tayari Pep amejipigia vigogo wote wa E.P.L wengine kwa aibu ya goli 5....,tungojee mwisho wa msimu tuone mambo yatakuwaje ila without doubt Man city watanyanyua makwapa
[emoji106] sina mengi mkuu..
 
Mleta hana kumbukumbu vizuri ya mpira wa ulaya. Huyo guardiola alikula kichapo KWA Chelsea drodga akitupia, kule KWAo tulitoka mbili mbili, Chelsea tuichukua ndoo ya ulaya, huyo guardiola yupo. Hata msimu uliopita, sisi Chelsea jiwe la uingereza tulimgonga nje ndani, tena pale KWAo alikula tatu moja, tena walianza kutufunga sisi, hii timu imetumia FEDHA nyingi kusajiri wachezaji wazuri tu

Hata msimu uliopita, sisi Chelsea jiwe la uingereza tulimgonga nje ndani, umeshaona babu akimpa story mjukuu wake?

sawa kabisa hujakosea mlikuwa vizuri na hakuna aliebisha, sasa safari hii ni yetu na ndo maana msimu huu tumewapa kipigo. na city hajapiga kelele kumfunga Chelsea maana timu zote zilicheza mpira vizuri, hapa tunacholalamika ni man u kufungwa mechi ya juzi na man city halafu hakucheza lolote ila anajigamba eti alifungwa kibahati.
Kipindi kile Chelsea alitufunga maana walicheza vizuri na walituzidi mpira na tukafungwa, na sio Chelsea pekee bali hata hotspur alitufunga kiufupi tulicheza kizembe na wenzetu walituzidi na tukafungwa, Swaji je kipindi kichi je? kwanini hamtusifii tunapowafunga?
 
Still ujamalizia post yko jinc man city alivyobebwa dk za nyongeza zinaisha lkn bado gurudumu linaendelezwa
Ni kweli kabisa, Mancity alikuwa ana goli 2 na man U alikuwa na 1, mpira ulikuwa uishe dakika ya 94. lakini uliisha dakika ya 95, maana yake ili man u asawazishe ila alishindwa? kwahiyo man u alikuwa anabebwa?
 
Guardiola ataendelea kuwatembezea mstari boko mpaka akili ziwakae sawa, bahati nzuri yeye huwa hachongi kama Morinho. Anawafumua kimya kimya tu
 
Ukisema hutambi mara 2... unasahau Man untd ile ya kina Cr7 ilishachukua ubingwa mara 3 mfululizo
Hiyo ya Man u ni historia, tangu 2009 hakuna timu iliyoweza kutetea ubingwa wake EPL
 
Back
Top Bottom