Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Bado EPL anaenda mdogo mdogo.UEFA kisha kula kichapo bhanaaa
EPL lazima ukojolewe Mkuu...[emoji23] [emoji23]Bado EPL anaenda mdogo mdogo.
Nadhani watu wengi tunakumbuka ile Barcelona ya 2009-2012 ambayo kwa wengi ni timu bora kabisa katika kizazi hiki cha soka, kuanzia ugawaji wa vipigo,kandanda safi na uwezo binafsi wa wachezaji.
Wakati Guardiola akiiongoza Barcelona kugawa vichapo vya hatari hadi kumtetemesha mzee wetu Ferguson kwenye fainali ya Uefa 2011 wengi walikuwa wanammbeza kwa kusema anacheza ligi ya timu 2, ooh mara kabebwa na messi, wengine wakasema ana bahati.
Guardiola akaondoka zake kwenda Bundesliga, huko nako akagawa vichapo vya kutosha, ila wadau wa England wakaendelea kumponda kuwa anaiogopa England maana sio size yake [emoji23](wakajisahaulisha kilichokuwa kinazikumba timu za England zilipokutana na Barcelona).
Haya sasa , mara Guardiola akaja hapo England, ni kweli msimu wa kwanza hakufanya vizuri ila wadau wa England wakatamba sana eti alidhani yupo la liga au ligi nyingine nyepesi, hii ndio England bwana, timu zote kali!!!!
Msimu wake wa pili, akaanza kwa kasi ndogo, wakaongea sana,alipoanza kugawa vichapo wakasema ngoja tumuone, hawezi fika mbali hii ndio England, mara kashinda game 10 mfululizo, akashinda nyingine 5(still counting), humo kagawa vichapo na kuupiga mpira mwingi mno ikiwemo nyumbani kwa timu vigogo kama Man untd na chelsea.
Sasa hivi England ni ligi ya timu moja tuu, Man city imegeuka kama msalaba wa jumuiya ambao unapita kila nyumba, Guardiola hajawahi kuwa na timu iliyokusanya pointi nyingi hivi ndani ya mechi 16 za kwanza, cha kushangaza huku ambapo Guardiola anajipigia tuu watu ndio tunaambiwa ni ligi ngumu lakini kule ambapo alikuwa na timu ya Dunia alikuwa hashindi hivi tunaambiwa ile ligi ni mbovu/rahisi.!!
Kinachotokea sahizi si kingine bali ni E.P.L kuumbuka, tayari Pep amejipigia vigogo wote wa E.P.L wengine kwa aibu ya goli 5....,tungojee mwisho wa msimu tuone mambo yatakuwaje ila without doubt Man city watanyanyua makwapa
wkt huo team zingine hawaumii wanaumia Man City tu?Man City na Guardiola kiukweli ni wazuri, lakini hawajakumbana majeruhi. Sasa subirini De Bruyne na D. Silva wapate majeraha ndo utajua EPL ni sawa n La Liga au Bundesliga? Tusubiri, time will tell us.
Hahaa.. Na ndio maana nasema lazima atatibuliwa tu. Tena yawezekana December hii. Anaweza kula Christmas vibayaEPL lazima ukojolewe Mkuu...[emoji23] [emoji23]
Haswa hivi vitimu vinavyo takaka kushuka daraja vinanuksi ile mbaya
Hata atumie 4-3-3 bado Conte ni mbahatishaji tu!Conte anabahatisha? una uhakika? kila kocha ana mfumo wake? Pep anatumia TIK TAK usilazimishe kila kocha atumie huo ndio maana huwez kuta pep katumia 3-4-3 au -3-5-2
Mashabiki wa Man U , Eti Man City kamfunga Man U kwa bahati. Mahaba niue au ulikua unaangalia Live Score au umesimuliwa kijiweni. Tusibishane sana ingia You tube tu utaona jinsi Man City walivotakata hasa second half tena alivoingia Cadabra ni zaidi na mwishoni man u ailikua anakufa kuanzia goli 2 maana walitengea clear chances nyingi na walikua wanajiamini mno. Bahati analikua nayo Man U kufungwa goli chache. Usiwe na mapenzi ya ajabu. Na kama unabisha hili nitafute tuwekeane uone jinsi Man United atakavopigwa magoli mengi mzunguko wa pili dhidi ya Man City.
[emoji106] sina mengi mkuu..Nadhani watu wengi tunakumbuka ile Barcelona ya 2009-2012 ambayo kwa wengi ni timu bora kabisa katika kizazi hiki cha soka, kuanzia ugawaji wa vipigo,kandanda safi na uwezo binafsi wa wachezaji.
Wakati Guardiola akiiongoza Barcelona kugawa vichapo vya hatari hadi kumtetemesha mzee wetu Ferguson kwenye fainali ya Uefa 2011 wengi walikuwa wanammbeza kwa kusema anacheza ligi ya timu 2, ooh mara kabebwa na messi, wengine wakasema ana bahati.
Guardiola akaondoka zake kwenda Bundesliga, huko nako akagawa vichapo vya kutosha, ila wadau wa England wakaendelea kumponda kuwa anaiogopa England maana sio size yake [emoji23](wakajisahaulisha kilichokuwa kinazikumba timu za England zilipokutana na Barcelona).
Haya sasa , mara Guardiola akaja hapo England, ni kweli msimu wa kwanza hakufanya vizuri ila wadau wa England wakatamba sana eti alidhani yupo la liga au ligi nyingine nyepesi, hii ndio England bwana, timu zote kali!!!!
Msimu wake wa pili, akaanza kwa kasi ndogo, wakaongea sana,alipoanza kugawa vichapo wakasema ngoja tumuone, hawezi fika mbali hii ndio England, mara kashinda game 10 mfululizo, akashinda nyingine 5(still counting), humo kagawa vichapo na kuupiga mpira mwingi mno ikiwemo nyumbani kwa timu vigogo kama Man untd na chelsea.
Sasa hivi England ni ligi ya timu moja tuu, Man city imegeuka kama msalaba wa jumuiya ambao unapita kila nyumba, Guardiola hajawahi kuwa na timu iliyokusanya pointi nyingi hivi ndani ya mechi 16 za kwanza, cha kushangaza huku ambapo Guardiola anajipigia tuu watu ndio tunaambiwa ni ligi ngumu lakini kule ambapo alikuwa na timu ya Dunia alikuwa hashindi hivi tunaambiwa ile ligi ni mbovu/rahisi.!!
Kinachotokea sahizi si kingine bali ni E.P.L kuumbuka, tayari Pep amejipigia vigogo wote wa E.P.L wengine kwa aibu ya goli 5....,tungojee mwisho wa msimu tuone mambo yatakuwaje ila without doubt Man city watanyanyua makwapa
Mleta hana kumbukumbu vizuri ya mpira wa ulaya. Huyo guardiola alikula kichapo KWA Chelsea drodga akitupia, kule KWAo tulitoka mbili mbili, Chelsea tuichukua ndoo ya ulaya, huyo guardiola yupo. Hata msimu uliopita, sisi Chelsea jiwe la uingereza tulimgonga nje ndani, tena pale KWAo alikula tatu moja, tena walianza kutufunga sisi, hii timu imetumia FEDHA nyingi kusajiri wachezaji wazuri tu
Kwahiyo West Ham, West Brom, na Man U ndo dawa ya ushindi wa Man city? hivi vitimu vinanafasi ndogo sana ya kuifunga Man City,Huyo Guadiora dawa yake ni Westham, West Brom, na Manchester United... Tutampigia pale pale Kwake ngoja January ligi ichanganye
Ni kweli kabisa, Mancity alikuwa ana goli 2 na man U alikuwa na 1, mpira ulikuwa uishe dakika ya 94. lakini uliisha dakika ya 95, maana yake ili man u asawazishe ila alishindwa? kwahiyo man u alikuwa anabebwa?Still ujamalizia post yko jinc man city alivyobebwa dk za nyongeza zinaisha lkn bado gurudumu linaendelezwa
Mbona wakati huu timu nyingine wanaumia ila Manchester City hawaumii? Inaweza ikatokea kwao pia...wkt huo team zingine hawaumii wanaumia Man City tu?
Hiyo ya Man u ni historia, tangu 2009 hakuna timu iliyoweza kutetea ubingwa wake EPLUkisema hutambi mara 2... unasahau Man untd ile ya kina Cr7 ilishachukua ubingwa mara 3 mfululizo