Nikiangalia kikosi cha Pep Guardiola,pamoja na usajili alioufanya mpaka sasa,sioni timu tofauti na Man City ikibeba ubingwa wa EPL msimu ujao.
Inauma,lakini niseme tu ili timu tofauti na Man City ibebe ubingwa wa EPL basi tuombe Guardiola ahame haraka sana.
So far Kikosi cha kwanza cha City kwa msimu ujao kinaweza kuwa hivi
Golini: Ederson
Mabeki: Walker,Stones,Laporte,Zinchenko
Viungo: De Bruyne,Rodri,Bernardo
Washambuliaji: Sterling,Jesus,Mahrez
Bench lao: Mendy,Otamendi,Angelino,Foden,Sane,Aguero,Gundogan,Fernandinho,David Silva
Guardiola anatuharibia ligi yetu pendwa.
Inauma,lakini niseme tu ili timu tofauti na Man City ibebe ubingwa wa EPL basi tuombe Guardiola ahame haraka sana.
So far Kikosi cha kwanza cha City kwa msimu ujao kinaweza kuwa hivi
Golini: Ederson
Mabeki: Walker,Stones,Laporte,Zinchenko
Viungo: De Bruyne,Rodri,Bernardo
Washambuliaji: Sterling,Jesus,Mahrez
Bench lao: Mendy,Otamendi,Angelino,Foden,Sane,Aguero,Gundogan,Fernandinho,David Silva
Guardiola anatuharibia ligi yetu pendwa.