Guardiola anaifanya Ligi ya Uingereza kuonekana nyepesi

Guardiola anaifanya Ligi ya Uingereza kuonekana nyepesi

Unajua gadiola anaamini katika talent na sio professional ndomana wachezaji anao wapendelea ni Wale natural gifted na hao ni ngumu kuwapokonya mpira wanapo kuanao hasa viungo na mastraika muangalie messi,roben,libery,alcantara,sterling,mahrez, hao ni baadhi gadiola hawezi kuchukua mchezaji kama kina pogba,ozil,dembele etc sio kwamba wa baya hapana ila aina ya uchezaji gadiola anacheza mpira wa possession sasa ndomana anatumia watu wanao jua kuficha mipira na kwa mpira wa England atatunyanyasa sana na msimu ujao nafikiri atafanya kitu
Ozil ni talent ile ......sema bidiii ndogo
 
Bernado Silva hawezi kukosa kikosi cha kwanza
Sijamuweka Bernardo benchi mkuu.
Ukiangalia vizuri kwenye viungo nimewaweka De Bruyne,Rodri na Bernardo.
Kwasasa hapa duniani hakuna kocha wa kumuweka Bernardo benchi.
Kajamaa kanajua mpira hatari!
 
Timu yangu mpaka sasa imewasajili James kutoka Swansea na Wanbissaka kutoka Crystal Palace.
Halafu bado tunahangaikia saini ya Longstaff kutoka Newcastle.
Huu ni utani wa ngumu aisee.
 
Mtu unachukua kombe kwa point chache tu, yaani ukidraw imekula kwako, unasema ligi kaifanya imekuwa nyepesi?
 
Mtu unachukua kombe kwa point chache tu, yaani ukidraw imekula kwako, unasema ligi kaifanya imekuwa nyepesi?
Ndugu,ligi ambayo timu moja inabeba kombe kila msimu ni ligi yenye ushindani mkali,sio?
 
Ndugu,ligi ambayo timu moja inabeba kombe kila msimu ni ligi yenye ushindani mkali,sio?
Kila msimu? Yaani misimu miwili ndio imekuwa kila msimu? Hio ndio ligi ilotoa Bingwa wa Champions, timu 2 zake zimeshiriki Final, timu nyengine mbili zimeshiriki final Europa na Bingwa wa Europa katika EPL.

Ligi ilokosa ushindani ni pale wa kwanza anapochukua kombe akiwa amebakisha walau mechi 10 msimu kwisha.

Wewe football fan wa karibuni kweli kweli.
 
Kila msimu? Yaani misimu miwili ndio imekuwa kila msimu? Hio ndio ligi ilotoa Bingwa wa Champions, timu 2 zake zimeshiriki Final, timu nyengine mbili zimeshiriki final Europa na Bingwa wa Europa katika EPL.

Ligi ilokosa ushindani ni pale wa kwanza anapochukua kombe akiwa amebakisha walau mechi 10 msimu kwisha.

Wewe football fan wa karibuni kweli kweli.
Wewe maliza maneno yote mkuu.
Ila mimi nitaendelea kusema kuwa huu ubabe anaoufanya Guardiola unaifanya ligi ionekane ni ya timu moja.
Msimu ujao bado haujaanza lakini watu tumeshajua nani anaenda kubeba ubingwa.
 
Wewe maliza maneno yote mkuu.
Ila mimi nitaendelea kusema kuwa huu ubabe anaoufanya Guardiola unaifanya ligi ionekane ni ya timu moja.
Msimu ujao bado haujaanza lakini watu tumeshajua nani anaenda kubeba ubingwa.
LOL!
 
Akiacha ubaguzi dhidi ya waafrika atakuwa kocha bora zaidi
Hili la ubaguzi wa Guardiola mnalielezea kwa minajil gan? Nasikia sikia tu mtaan Pep mbaguz lkn sielew.

Jaribu kunifumbua macho ndugu yangu maana umepata likes nying inaonesha weng wanakubaliana nawe
 
Hana lolote Guardiola zaidi ya kutumia pesa nyingi kusajili wachezaji hadi FIFA wanaifanyia uchunguzi Man City wakati wowote wanaweza kufungiwa hata kushiriki EUFA CHAMPIONS LEAGUE.

Guardiola ni Baguzi kuu la rangi nyeusi toka Africa lkn halina shida kwa rangi nyeusi zozote za mabara mengine duniani kwa kubagua Samuel Etoo ambaye alipaswa kuvunja rekodi kubwa sana pale Barcelona ya Mchezaji wa kizungu hata kabla Messi hajaanza kung'aa.

Baguzi hilo pia lilimbagua Yaya Toure zaidi ya mara mbili akiwa Barcelona na Man City.

Pia Man City ilikutwa na Guardiola ikiwa on fire "moto moto" ktk ubora wa soka 7bu ilitoka kushiriki nusu fainali ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE ikitolewa na Real Madrid.

Baguzi hilo linaviziaga tu timu ambazo ziko vzr kifedha na kiubora ktk soka ili kuboresha tu lkn hana uwezo kutengeneza vipaji kama Arsene Wenger 7bu alipoanza kuifundisha Barcelona tayari ilikuwa bora chini ya Kocha Rijkaard Ikiwa na vipaji tele kama akina Ronadinho, Samuel Eto'o na wengine wengi sawa na alivyoikuta Bayern Munich na Man City.

So Pep ni Kocha wa kawaida sana, punguza mahaba ili uweze kutumia akili zako za kuzaliwa kudadavua ukweli kama mimi.
Wewe maliza maneno yote mkuu.
Ila mimi nitaendelea kusema kuwa huu ubabe anaoufanya Guardiola unaifanya ligi ionekane ni ya timu moja.
Msimu ujao bado haujaanza lakini watu tumeshajua nani anaenda kubeba ubingwa.
 
Hana lolote Guardiola zaidi ya kutumia pesa nyingi kusajili wachezaji hadi FIFA wanaifanyia uchunguzi Man City wakati wowote wanaweza kufungiwa hata kushiriki EUFA CHAMPIONS LEAGUE.

Guardiola ni Baguzi kuu la rangi nyeusi toka Africa lkn halina shida kwa rangi nyeusi zozote za mabara mengine duniani kwa kubagua Samuel Etoo ambaye alipaswa kuvunja rekodi kubwa sana pale Barcelona ya Mchezaji wa kizungu hata kabla Messi hajaanza kung'aa.

Baguzi hilo pia lilimbagua Yaya Toure zaidi ya mara mbili akiwa Barcelona na Man City.

Pia Man City ilikutwa na Guardiola ikiwa on fire "moto moto" ktk ubora wa soka 7bu ilitoka kushiriki nusu fainali ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE ikitolewa na Real Madrid.

Baguzi hilo linaviziaga tu timu ambazo ziko vzr kifedha na kiubora ktk soka ili kuboresha tu lkn hana uwezo kutengeneza vipaji kama Arsene Wenger 7bu alipoanza kuifundisha Barcelona tayari ilikuwa bora chini ya Kocha Rijkaard Ikiwa na vipaji tele kama akina Ronadinho, Samuel Eto'o na wengine wengi sawa na alivyoikuta Bayern Munich na Man City.

So Pep ni Kocha wa kawaida sana, punguza mahaba ili uweze kutumia akili zako za kuzaliwa kudadavua ukweli kama mimi.
Ngoja mimi niendelee kutumia akili za watu wengine boss,sio lazima niwe kama wewe.
"Guardiola ni kocha bora zaidi kwa wakati huu"
"Hayo yote unayoyasema ni hearsay tu,hayana ushahidi wowote"
"Guardiola ni kocha na mtu poa tu,hana ubaguzi wowote"
 
Ngoja mimi niendelee kutumia akili za watu wengine boss,sio lazima niwe kama wewe.
"Guardiola ni kocha bora zaidi kwa wakati huu"
"Hayo yote unayoyasema ni hearsay tu,hayana ushahidi wowote"
"Guardiola ni kocha na mtu poa tu,hana ubaguzi wowote"
Hakuna kazi ngumu sana duniani kama kumuelewesha Mtu ambaye ameshaathirika kimahaba juu ya vitu, Watu flani 7bu tayari kashajengeka kisaikolojia kuwa na jibu 1 tu analoamini yeye.

NIMEMALIZA.
 
Alipofika Man city , akamkataa Yaya, Dunia ya mpira ikamshangaa, Yaya alikuwa mzuri tatizo hana kasi.
 
Hakuna kazi ngumu sana duniani kama kumuelewesha Mtu ambaye ameshaathirika kimahaba juu ya vitu, Watu flani 7bu tayari kashajengeka kisaikolojia kuwa na jibu 1 tu analoamini yeye.

NIMEMALIZA.
Vice versa is true!
Hakuna kitu kigumu kama kumuelewesha mtu ambaye ameathirika na chuki.
Hawa wafuatao wameshasikika mara kadhaa wakikiri kuwa Guardiola ni kocha bora duniani:
1. Koeman
2. Ferguson
3. Klopp
4. Sarri
5. Van Gaal

Mkuu unataka nikusikilize wewe,serious kabisa!?
 
Alipofika Man city , akamkataa Yaya, Dunia ya mpira ikamshangaa, Yaya alikuwa mzuri tatizo hana kasi.
Alimuacha kwasababu alikuwa hana kasi au alimuacha kwasababu ni Mtu kutoka Afrika?
 
Back
Top Bottom