Guardiola anaifanya Ligi ya Uingereza kuonekana nyepesi

Guardiola anaifanya Ligi ya Uingereza kuonekana nyepesi

Mpira wa kisasa ni uwezo wa mchezaji kumiliki mpira pasipo kunyang'anywa kirahisi na adui, Ndio atoe pasi kwa mwenzie, tena huku akiwa anakimbia kwa kasi, adui akiingia kichwa kichwa anatengeneza faulo. Hapo Ndio utampenda Pep kwa faulo . Pep yuko radhi asajiri mbilikimo lakini ana uwezo na kipaji
 
ligi itaendelea kuwa ngumu tu.. msimu ujao naamin liva wataitak zad EPL mana washbeba CL ,pia kuna chelsea mpya y lampard nay ishaonja mafnikio ulay msim uliopita so nguvu wtazihmishia zaid EPL.
 
ligi itaendelea kuwa ngumu tu.. msimu ujao naamin liva wataitak zad EPL mana washbeba CL ,pia kuna chelsea mpya y lampard nay ishaonja mafnikio ulay msim uliopita so nguvu wtazihmishia zaid EPL.
Tuombe uhai tu.
 
Huu msimu liverpool anabeba ndoo mapema sanaa, kwanza kabisa


Weka mzigo mechi tano za mwanzo liverpool na city wanashinda utoke na mshiko
 
Lakini Uefa asahau
Kuna watu mnaamua kuwa wajinga tu.
Kwani pep hajawahi kushinda UEFA?
Kwani UEFA ni kwaajili ya nani?
Mbona Ferguson kaka man u miaka yote kashinda hilo kombe mara mbili tu.
Pep ndo kaka miaka mitatu tu. Haters bado mtaumia sana mioyo.
 
Sio haters achukue hiyo Uefa akiwa hapo tuone.
Kuna watu mnaamua kuwa wajinga tu.
Kwani pep hajawahi kushinda UEFA?
Kwani UEFA ni kwaajili ya nani?
Mbona Ferguson kaka man u miaka yote kashinda hilo kombe mara mbili tu.
Pep ndo kaka miaka mitatu tu. Haters bado mtaumia sana mioyo.
 
Akiwa wingereza hapo mancity watu washachukua makombe ya ligi me nazungumzia achukue uefa akiwa hapo.
Kwani ni lazima abebe akiwa Man City?
CV yake inaonesha ni kocha ambaye ana makombe mawili ya UEFA,idadi sawa na Sir Alex Ferguson.
Sio lazima abebe tena akiwa Man City ndio athibitishe kuwa yeye ni bora.
 
Sawa nasubiri abebe hiyo uefa akiwa kwenye ligi nzuri na bora zaid duniani EPL
Kwani ni lazima abebe akiwa Man City?
CV yake inaonesha ni kocha ambaye ana makombe mawili ya UEFA,idadi sawa na Sir Alex Ferguson.
Sio lazima abebe tena akiwa Man City ndio athibitishe kuwa yeye ni bora.
 
Sawa nasubiri abebe hiyo uefa akiwa kwenye ligi nzuri na bora zaid duniani EPL
Hamkosagi kutapatapa mara hawez beba ubigwa back to back kabeba sahivi mmehamishia magori UEFA Nako anabeba next season sjui mtasemaje tena
 
Hamkosagi kutapatapa mara hawez beba ubigwa back to back kabeba sahivi mmehamishia magori UEFA Nako anabeba next season sjui mtasemaje tena
Mkuu.
Umejuaje kama Guardiola atabeba UEFA msimu ujao?
Mimi nina uhakika atabeba EPL,hii ni kwasababu ya kikosi kipana alichonacho,pia kwasababu EPL sio maahindano ya mtoano.
 
Back
Top Bottom