Guardiola anaifanya Ligi ya Uingereza kuonekana nyepesi

Guardiola anaifanya Ligi ya Uingereza kuonekana nyepesi

Nikiangalia kikosi cha Pep Guardiola,pamoja na usajili alioufanya mpaka sasa,sioni timu tofauti na Man City ikibeba ubingwa wa EPL msimu ujao.
Inauma,lakini niseme tu ili timu tofauti na Man City ibebe ubingwa wa EPL basi tuombe Guardiola ahame haraka sana.

So far Kikosi cha kwanza cha City kwa msimu ujao kinaweza kuwa hivi
Golini: Ederson
Mabeki: Walker,Stones,Laporte,Zinchenko
Viungo: De Bruyne,Rodri,Bernardo
Washambuliaji: Sterling,Jesus,Mahrez

Bench lao: Mendy,Otamendi,Angelino,Foden,Sane,Aguero,Gundogan,Fernandinho,David Silva

Guardiola anatuharibia ligi yetu pendwa.
Hata kikosi hujui kupanga mkuu PEP hawez wachezesha rodri na fernandino the same hata siku moja
 
Ndugu huwajui watanzania.Mtu anasema tu ubaguzi kwakutumia hisia zake anavyotaka yeye bila hata fact zozote.
Alivyokuwa Barcelona alikuwa na Eric Abidal,huyu ni mweusi kama kambale. Hata Dani Alves sio mzungu.
Alivyokuwa Bayern Munich alikuwa na Alaba,huyu naye ni mweusi pia.
Man City kuna Mendy ambaye ni mweusi kama mkaa,hata Sterling ni mweusi pia.
Au ubaguzi wake ni kutokana na kukosana na Etoo na Toure?
 
Hata kikosi hujui kupanga mkuu PEP hawez wachezesha rodri na fernandino the same hata siku moja
Ha ha ha!
Kama umepitia vizuri uzi wangu,utaona Fernandinho yupo benchi na Rodri yupo kwa kikosi cha kwanza.
Rodri amenunuliwa kuja kucheza nafasi ya Fernandinho.
 
Ndugu huwajui watanzania.Mtu anasema tu ubaguzi kwakutumia hisia zake anavyotaka yeye bila hata fact zozote.
Wanaendeshwa na chuki zao binafsi,ndio maana wanakosa facts.
 
Unajua gadiola anaamini katika talent na sio professional ndomana wachezaji anao wapendelea ni Wale natural gifted na hao ni ngumu kuwapokonya mpira wanapo kuanao hasa viungo na mastraika muangalie messi,roben,libery,alcantara,sterling,mahrez, hao ni baadhi gadiola hawezi kuchukua mchezaji kama kina pogba,ozil,dembele etc sio kwamba wa baya hapana ila aina ya uchezaji gadiola anacheza mpira wa possession sasa ndomana anatumia watu wanao jua kuficha mipira na kwa mpira wa England atatunyanyasa sana na msimu ujao nafikiri atafanya kitu
 
Bernado Silva hawezi kukosa kikosi cha kwanza
Nikiangalia kikosi cha Pep Guardiola,pamoja na usajili alioufanya mpaka sasa,sioni timu tofauti na Man City ikibeba ubingwa wa EPL msimu ujao.
Inauma,lakini niseme tu ili timu tofauti na Man City ibebe ubingwa wa EPL basi tuombe Guardiola ahame haraka sana.

So far Kikosi cha kwanza cha City kwa msimu ujao kinaweza kuwa hivi
Golini: Ederson
Mabeki: Walker,Stones,Laporte,Zinchenko
Viungo: De Bruyne,Rodri,Bernardo
Washambuliaji: Sterling,Jesus,Mahrez

Bench lao: Mendy,Otamendi,Angelino,Foden,Sane,Aguero,Gundogan,Fernandinho,David Silva

Guardiola anatuharibia ligi yetu pendwa.
 
The citizens daima tutaendelea kuwa juu mawinguni.
 
Back
Top Bottom