Kweli we zero, toka lini liver akawa na uhakika na top four?Embu muache ushabiki. Timu bara na nzuri kwa sasa kwa pale epl ni Spurs na chelsea. Hizi zipo kamili kwa kila idara. Kwa maana ya beki, viungo na washambuliaji. United kitimu c nzuri kuwazidi arsenal, Liverpool na man city. So united kwenye top 4 hawezi kuingia. Arsenal hawana ubora wa Liverpool na man city. Hapa inabidi waachie nafasi yao ya 4 warudi nyuma hatua 1.
Top 4 itakuwa hivi
1. Chelsea/spurs
2. Spurs/chelsea
3. Liverpool
4. Man city
Arseno na man u poleni
sawa mkuuUchambuzi wako mwisho wa msimu utaona kuwa ni uchambuzi uchwara..Pep hatoki top 4...
Unasemaje?Kale ka-thread cha Man. City kamepotelea wapi?
EPL ni ligi -ingine kabisa, ni ligi ya kuwafundisha heshima makocha.
Ligi iliisha wewe bingwa alikuwa chelseaMwenye hii nyuzi yupo?
Mlisubili msimu mpya wa kwanza alishabanduliwa sanaUnasemaje?
Kitufe.Mods nikitaka kufuta uzi nabonyeza wapi?
Next season IPI uliyokua unamaanisha wewe..!?yangu mm next season
1. liverpool
2. man utd
3. chelsea
4. arsenal
Ahahaaaah...Guadiola tatzo alikuja epl na mbwembwe na hyo top 4 ataickia kwenye bomba tu
mpo Europahebu tuwie radhi yani arsenal tumalize wa 4. atleast wa 2 au 1 kabisa
Weka akiba ya manenoAs long as Pep yupo Man City, I dont care nafasi gani tutaangukia. sijui wamemtoa wapi huyu, I need him out, atuachie timu yetu.
Simpendi period.
Sisi tunaangalia maudhui ya alichokiandika...Ligi iliisha wewe bingwa alikuwa chelsea
Wewe huna mawazo kabisaaaaaKwa mwenendo wa ligi unavyoenda na nikilinganisha na uwezo wa Pep Guardiola katika kukinoa kwake Kikosi cha Man city nashawishika kabisa kuwa Mkufunzi huyu mahiri wa soka pasipo na shaka wala wasiwasi wowote atamaliza nje ya Top 4 hivyo kukosa nafasi ya kushiriki UEFA Champions League msimu ujao.
Kwanini nasema hivyo? Ni kwasababu Guardiola bado hajajua jinsi ya kukabiliana na soka la Kiingereza ambalo hutumia nguvu nyingi kuliko akili, kuna muda unahitaji point 3 muhimu hata kama timu haichezi mpira, yeye analazimisha timu icheze vizuri kisha ndio ishinde. Ligi ile si Ujerumani au Uhispania pale ni Uingereza ligi ya kibabe. Kwahiyo kama asipobadilika top 4 ataisikia kwenye bomba tu.
TOP 4 yangu mwisho wa msimu:
1.Chelsea
2.Liverpool
3.Spurs
4.Arsenal
EPL mbona bdo!!..point 10 si nyingi kihivyoSisi tunaangalia maudhui ya alichokiandika...
Alikua na maana kwamba falsafa ya Pep G haiwezi kufanya kazi Ligi ya Uingereza...
Lakini kinachoendelea kutokea sasa kila mtu anakiona..!
Pia amesema Man City angemaliza nje ya top four,imekua hivyo..!?