Guardiola atamaliza nje ya Top 4

Guardiola atamaliza nje ya Top 4

Kwa mwenendo wa ligi unavyoenda na nikilinganisha na uwezo wa Pep Guardiola katika kukinoa kwake Kikosi cha Man city nashawishika kabisa kuwa Mkufunzi huyu mahiri wa soka pasipo na shaka wala wasiwasi wowote atamaliza nje ya Top 4 hivyo kukosa nafasi ya kushiriki UEFA Champions League msimu ujao.

Kwanini nasema hivyo? Ni kwasababu Guardiola bado hajajua jinsi ya kukabiliana na soka la Kiingereza ambalo hutumia nguvu nyingi kuliko akili, kuna muda unahitaji point 3 muhimu hata kama timu haichezi mpira, yeye analazimisha timu icheze vizuri kisha ndio ishinde. Ligi ile si Ujerumani au Uhispania pale ni Uingereza ligi ya kibabe. Kwahiyo kama asipobadilika top 4 ataisikia kwenye bomba tu.

TOP 4 yangu mwisho wa msimu:
1.Chelsea
2.Liverpool
3.Spurs
4.Arsenal

Du yaani hata man u haipo?
round ya kwanza ndo hiyo inakata. Table inasomeka hivi, wanaopewa nafasi ya kuchukua kombe ni hao kwenye red.
Top 4 kwa harakaharaka ni hao kwenye red.

Mpira sio fikra zako wewe kama wewe bali ni hatua wanazochukua hao waalimu wa mpira, kwenye mechi ya man city na man u, mou alikuwa na kalamu na daftari mkuu.

Jana kuna mtu alifungua uzi akasema jinsi Man city atakavyofungwa na Hotspur akaja na mawazo yake, leo ameufanyia editing. hakuwa na tofauti na wewe.
1. Kuhusu man city kutokuingia top 4 kwasababu anashinda kila mechi hata zisizo na maana anashinda, hapa unamaanisha kuwa atakuwa amechoka, kwani angeshindwa mechi ndo hatachoka?

2. nipe majibu ya kwanini hujaiweka man u kwenye top 4 yako?


top 4.png
 
GUARDIOLA; TIK TAK INAIMISI ROHO YAKO ENEO LAKE, acha ku struggle


Pep Guardiola anastrugle, anamfanya Aguero naye a struggle, anasababisha de bruyne a struggle.... Anafanya nafasi yake katika top four nayo istrugle...

Baada ya mchezo Liverpool 1-0 Manchester city unagundua sehemu zilipo roho za Guardiola tangu La liga ikaja Bundasliga na sasa EPL..... Nagundua mambo mengi katika matokeo ya City (ya kushinda na kushindwa)..... Ngundua pia kuwa kweli unaweza kustaafu ukiwa man city.

Twende sasa:-
Pale Camp Nouw roho ya pep ilitiwa nakshi na miguu ya Xavi Hernandez kama mzizi wa tik tak.... Lakini pia ulikuwa katika usalama wa miguu ya Sergio Bosqute....

Unakumbuka nafasi aliyokuwa akicheza ball dancer Andres Iniesta.... Alikuwa hachezi namba 10, hachezi namba 8 hachezi namba 11 pia alikuwa hachezi namba 7. Pep Guardiola aliiunda Barcelona kupitia kwa Xavi Hernandez kwanza na Andres Iniesta pili kabla ya kumalizia kwa Leonel Mesi. Namaanisha hata hapa Etihad stadium pep anamhitaji kiungo ambaye ni clinical player ambaye atakuwa passer na controller wa timu.

Kwa sasa pep Guardiola anamkosa na hana Xavi wa Manchester city ambaye atakuwa clinical player, ambaye ataiongoza timu kwa pasi zake..... Pep ameshindwa kumtengeneza Iniesta wa Manchester city ambaye hatocheza namba 10, 11, 8 na 7 ila atakuwa anagusa pasi katika kila pasi tatu za Xavi aliemtengeneza..... Kufeli kumtengeneza Xavi na Iniesta wa Manchester city ndipo kunapoanzia kufeli kwa Pep Guardiola kwanza na Manchester city baadae.

Fernando, Yaya toure na fernadinho hawatoshi kuwa roho ya Pep Guardiola kama central midfielders katika tik tak.... Kote alipopita alibebwa na eneo la roho yake katika kiungo.... Thiago Alcantara huyu alikuwa special kwaajili ya ku control mchezo na ku control timu kwa pasi zake, kushift kutoka fullback mpaka kuwa roho na mzizi wa tik tak Philip Lahm ni kutokana na ubora wake katika kichwa na miguu..... Nyuma ya Thiago Alcantara au Philip Lahm kulikuwa na Xavi Alonso..... Ona nyuma ya Yaya toure kuna Nani na mbele ya fernadinho kuna Nani....

Ona nyuma ya Yaya toure kuna Nani na mbele ya fernadinho kuna Nani..... Mwanzoni aliwini sehemu kubwa ya Michezo sababu aliwatumia Silva na de bruyne katika ya dimba watengeneze Triangle na Fernadinho...... Tulianza kuishi kwa uwoga katika effect zile za triangle [emoji665][emoji667][emoji668][emoji666]..... Ambazo kwa asilimia kadhaa zilizaa muonekano wa matunda ya tik tak Bila ya kuwa na Alcantara wala Alonso Bila ya kuwa na Xavi wala Iniesta......

Katika mchezo wa dhide ya Liverpool.... Liverpool walikuwa wanaonekana ni wengi sana katika eneo la katikati na kufanikiwa mara nyingi zaidi kupokonya mipira kitahisi..... Hii ilitokana na ile falsafa ya triangle kufa katika speed ya Liverpool.....

Kuwa na Yaya toure na fernadinho ambao wanawasubiri Liverpool waje katika eneo lao na sio kuwafuata huko huko ni kumtesa David Silva.... Guardiola Guardiola macho ya Kila mtu yanaanza kukuona unavyo patwa na anguko la falsafa yako hatari.

Ukiachia kuteswa na mbinu chafu basi Guardiola amekuwa mhanga wa speed technical kwa timu anazokutana nazo. Burnley walionekana kutaka kutumia mbinu ile ile ya Liverpool waliyotumia kushinda mchezo lakini walifeli sababu Burnley hawana flow ya mpira na quality ya players kama ile ya Liverpool. Vipi mchezo ule wa dhide ya Chelsea... Man city Bado walionekana ku struggle wao na Kocha wao katika ile speed technical ya Chelsea..... Vivyo hivyo dhide ya Arsenal katika kipindi cha kwanza kabla ya vijana wa Wenger hawajaridhika na matokeo.....

Mara zote falsafa ya Guardiola imekuwa ikishindwa kuwa na safu bora ya ulinzi ila Imefanikiwa kulindwa na possession ya eneo la kiungo kwa kukaa na mpira muda mrefu.... Hapa otamend na John stone hawana usalama wa kulindwa na possession ya eneo la kiungo kwanza na overall possession ya timu kiujumla. Hapa tunamuona Guardiola anaamua kuwaruhusu Zabaleta, clich, Sagna na Kolarov kupiga cross kuliko penetration pass.

Nimeamua kumfanya scouting Illarramend ni mmoja ya miguu inayoishi na kukua katika falsafa ya tik tak na kuwa roho ya kiungo cha real Sociedad chini ya Eusebian Sacristan..... Huyu mwanadamu ndiye Xavi mpya katika falsafa yako.... Huyu kiungo anaweza kuiweka salama roho yako pale Etihad..... Siku ukifungua jicho kwa huyu jamaa anaweza kuwa mtu sahihi kwa Gundogan na silva.

Huku kwetu Guardiola heshima yako ipo pale pale ila tunaimisi tik tak katika ligi yenye roho mbaya..... Guardiola itafute roho ya eneo lako ili ujitangaze tena kwenye ligi hii ya matangazo. Happy new year Pep.

Huu ni wakati wako wa kufanya unacho penda au uwape ruhusa wakufanya wanachopenda wao na timu zao..
Mkuu nimependa uchambuzi wako, tayari keshamtengeneza de bryne
 
  • Thanks
Reactions: Lee
GUARDIOLA; TIK TAK INAIMISI ROHO YAKO ENEO LAKE, acha ku struggle


Pep Guardiola anastrugle, anamfanya Aguero naye a struggle, anasababisha de bruyne a struggle.... Anafanya nafasi yake katika top four nayo istrugle...

Baada ya mchezo Liverpool 1-0 Manchester city unagundua sehemu zilipo roho za Guardiola tangu La liga ikaja Bundasliga na sasa EPL..... Nagundua mambo mengi katika matokeo ya City (ya kushinda na kushindwa)..... Ngundua pia kuwa kweli unaweza kustaafu ukiwa man city.

Twende sasa:-
Pale Camp Nouw roho ya pep ilitiwa nakshi na miguu ya Xavi Hernandez kama mzizi wa tik tak.... Lakini pia ulikuwa katika usalama wa miguu ya Sergio Bosqute....

Unakumbuka nafasi aliyokuwa akicheza ball dancer Andres Iniesta.... Alikuwa hachezi namba 10, hachezi namba 8 hachezi namba 11 pia alikuwa hachezi namba 7. Pep Guardiola aliiunda Barcelona kupitia kwa Xavi Hernandez kwanza na Andres Iniesta pili kabla ya kumalizia kwa Leonel Mesi. Namaanisha hata hapa Etihad stadium pep anamhitaji kiungo ambaye ni clinical player ambaye atakuwa passer na controller wa timu.

Kwa sasa pep Guardiola anamkosa na hana Xavi wa Manchester city ambaye atakuwa clinical player, ambaye ataiongoza timu kwa pasi zake..... Pep ameshindwa kumtengeneza Iniesta wa Manchester city ambaye hatocheza namba 10, 11, 8 na 7 ila atakuwa anagusa pasi katika kila pasi tatu za Xavi aliemtengeneza..... Kufeli kumtengeneza Xavi na Iniesta wa Manchester city ndipo kunapoanzia kufeli kwa Pep Guardiola kwanza na Manchester city baadae.

Fernando, Yaya toure na fernadinho hawatoshi kuwa roho ya Pep Guardiola kama central midfielders katika tik tak.... Kote alipopita alibebwa na eneo la roho yake katika kiungo.... Thiago Alcantara huyu alikuwa special kwaajili ya ku control mchezo na ku control timu kwa pasi zake, kushift kutoka fullback mpaka kuwa roho na mzizi wa tik tak Philip Lahm ni kutokana na ubora wake katika kichwa na miguu..... Nyuma ya Thiago Alcantara au Philip Lahm kulikuwa na Xavi Alonso..... Ona nyuma ya Yaya toure kuna Nani na mbele ya fernadinho kuna Nani....

Ona nyuma ya Yaya toure kuna Nani na mbele ya fernadinho kuna Nani..... Mwanzoni aliwini sehemu kubwa ya Michezo sababu aliwatumia Silva na de bruyne katika ya dimba watengeneze Triangle na Fernadinho...... Tulianza kuishi kwa uwoga katika effect zile za triangle [emoji665][emoji667][emoji668][emoji666]..... Ambazo kwa asilimia kadhaa zilizaa muonekano wa matunda ya tik tak Bila ya kuwa na Alcantara wala Alonso Bila ya kuwa na Xavi wala Iniesta......

Katika mchezo wa dhide ya Liverpool.... Liverpool walikuwa wanaonekana ni wengi sana katika eneo la katikati na kufanikiwa mara nyingi zaidi kupokonya mipira kitahisi..... Hii ilitokana na ile falsafa ya triangle kufa katika speed ya Liverpool.....

Kuwa na Yaya toure na fernadinho ambao wanawasubiri Liverpool waje katika eneo lao na sio kuwafuata huko huko ni kumtesa David Silva.... Guardiola Guardiola macho ya Kila mtu yanaanza kukuona unavyo patwa na anguko la falsafa yako hatari.

Ukiachia kuteswa na mbinu chafu basi Guardiola amekuwa mhanga wa speed technical kwa timu anazokutana nazo. Burnley walionekana kutaka kutumia mbinu ile ile ya Liverpool waliyotumia kushinda mchezo lakini walifeli sababu Burnley hawana flow ya mpira na quality ya players kama ile ya Liverpool. Vipi mchezo ule wa dhide ya Chelsea... Man city Bado walionekana ku struggle wao na Kocha wao katika ile speed technical ya Chelsea..... Vivyo hivyo dhide ya Arsenal katika kipindi cha kwanza kabla ya vijana wa Wenger hawajaridhika na matokeo.....

Mara zote falsafa ya Guardiola imekuwa ikishindwa kuwa na safu bora ya ulinzi ila Imefanikiwa kulindwa na possession ya eneo la kiungo kwa kukaa na mpira muda mrefu.... Hapa otamend na John stone hawana usalama wa kulindwa na possession ya eneo la kiungo kwanza na overall possession ya timu kiujumla. Hapa tunamuona Guardiola anaamua kuwaruhusu Zabaleta, clich, Sagna na Kolarov kupiga cross kuliko penetration pass.

Nimeamua kumfanya scouting Illarramend ni mmoja ya miguu inayoishi na kukua katika falsafa ya tik tak na kuwa roho ya kiungo cha real Sociedad chini ya Eusebian Sacristan..... Huyu mwanadamu ndiye Xavi mpya katika falsafa yako.... Huyu kiungo anaweza kuiweka salama roho yako pale Etihad..... Siku ukifungua jicho kwa huyu jamaa anaweza kuwa mtu sahihi kwa Gundogan na silva.

Huku kwetu Guardiola heshima yako ipo pale pale ila tunaimisi tik tak katika ligi yenye roho mbaya..... Guardiola itafute roho ya eneo lako ili ujitangaze tena kwenye ligi hii ya matangazo. Happy new year Pep.

Huu ni wakati wako wa kufanya unacho penda au uwape ruhusa wakufanya wanachopenda wao na timu zao..

Watu mnajua uchambuzi wa mpira nyie? Dah. ulichochambua hapa kilikuwa kina mlenga nani? Pep?
 
بْلادي أُون لاين

الأربعاء 8 نوفمبر. خط التحرير · هيئة التحرير · اتصل بنا. الرئيسية · الشرق الآن · تـقـاريـر · أخبار سياسية · مجتمع · جهات · إقتصاد
 
Kwa mwenendo wa ligi unavyoenda na nikilinganisha na uwezo wa Pep Guardiola katika kukinoa kwake Kikosi cha Man city nashawishika kabisa kuwa Mkufunzi huyu mahiri wa soka pasipo na shaka wala wasiwasi wowote atamaliza nje ya Top 4 hivyo kukosa nafasi ya kushiriki UEFA Champions League msimu ujao.

Kwanini nasema hivyo? Ni kwasababu Guardiola bado hajajua jinsi ya kukabiliana na soka la Kiingereza ambalo hutumia nguvu nyingi kuliko akili, kuna muda unahitaji point 3 muhimu hata kama timu haichezi mpira, yeye analazimisha timu icheze vizuri kisha ndio ishinde. Ligi ile si Ujerumani au Uhispania pale ni Uingereza ligi ya kibabe. Kwahiyo kama asipobadilika top 4 ataisikia kwenye bomba tu.

TOP 4 yangu mwisho wa msimu:
1.Chelsea
2.Liverpool
3.Spurs
4.Arsenal
Kwan shekhe Yahya Hussein alikuachia mikoba yoyote labda?????
 
Du yaani hata man u haipo?
round ya kwanza ndo hiyo inakata. Table inasomeka hivi, wanaopewa nafasi ya kuchukua kombe ni hao kwenye red.
Top 4 kwa harakaharaka ni hao kwenye red.

Mpira sio fikra zako wewe kama wewe bali ni hatua wanazochukua hao waalimu wa mpira, kwenye mechi ya man city na man u, mou alikuwa na kalamu na daftari mkuu.

Jana kuna mtu alifungua uzi akasema jinsi Man city atakavyofungwa na Hotspur akaja na mawazo yake, leo ameufanyia editing. hakuwa na tofauti na wewe.
1. Kuhusu man city kutokuingia top 4 kwasababu anashinda kila mechi hata zisizo na maana anashinda, hapa unamaanisha kuwa atakuwa amechoka, kwani angeshindwa mechi ndo hatachoka?

2. nipe majibu ya kwanini hujaiweka man u kwenye top 4 yako?


View attachment 653123
Nikisema umekurupuka nitakuwa nakukosea mkuu? Huu uzi ni wa msimu uliopita wewe unaweka table ya msimu huu
 
Du yaani hata man u haipo?
round ya kwanza ndo hiyo inakata. Table inasomeka hivi, wanaopewa nafasi ya kuchukua kombe ni hao kwenye red.
Top 4 kwa harakaharaka ni hao kwenye red.

Mpira sio fikra zako wewe kama wewe bali ni hatua wanazochukua hao waalimu wa mpira, kwenye mechi ya man city na man u, mou alikuwa na kalamu na daftari mkuu.

Jana kuna mtu alifungua uzi akasema jinsi Man city atakavyofungwa na Hotspur akaja na mawazo yake, leo ameufanyia editing. hakuwa na tofauti na wewe.
1. Kuhusu man city kutokuingia top 4 kwasababu anashinda kila mechi hata zisizo na maana anashinda, hapa unamaanisha kuwa atakuwa amechoka, kwani angeshindwa mechi ndo hatachoka?

2. nipe majibu ya kwanini hujaiweka man u kwenye top 4 yako?


View attachment 653123
Usiwe unakurupuka mkuu, soma tarehe ya uzi wangu
 
Usiwe unakurupuka mkuu, soma tarehe ya uzi wangu
Tarehe ya uzi ndo tusije kutoa marejesho? maana tarehe ya uzi inazungumzia vilevile kuwa hatafika top 4. Angekuwa hajafika top 4 tungekuta huu uzi unapongeza alichoandika mleta mada, sasa alifika top 4 na ndio tumekuja kumueleza kuwa alikosea kutabiri. Unaposema tunakurupuka tuangalie tarehe. HAYA BANA TUMEKURUPUKA KUMJIBU KUWA MANCITY AMEFIKA SALAMA TOP 4 NA UCL AMEENDA.

Top 4 yake hii hapa ( msimu uliopita ) je ipo sawa? na je isijadiliwe ?

1.Chelsea
2.Liverpool
3.Spurs
4.Arsenal
 
Du yaani hata man u haipo?
round ya kwanza ndo hiyo inakata. Table inasomeka hivi, wanaopewa nafasi ya kuchukua kombe ni hao kwenye red.
Top 4 kwa harakaharaka ni hao kwenye red.

Mpira sio fikra zako wewe kama wewe bali ni hatua wanazochukua hao waalimu wa mpira, kwenye mechi ya man city na man u, mou alikuwa na kalamu na daftari mkuu.

Jana kuna mtu alifungua uzi akasema jinsi Man city atakavyofungwa na Hotspur akaja na mawazo yake, leo ameufanyia editing. hakuwa na tofauti na wewe.
1. Kuhusu man city kutokuingia top 4 kwasababu anashinda kila mechi hata zisizo na maana anashinda, hapa unamaanisha kuwa atakuwa amechoka, kwani angeshindwa mechi ndo hatachoka?

2. nipe majibu ya kwanini hujaiweka man u kwenye top 4 yako?


View attachment 653123
Wewe ndio umekurupuka. Hii thread ni ya siku nyingi. Hii ilikuwa ya ligi ya msimu uliopita. Ambayo mabingwa ni chelsea. Makamu bingwa ni Spurs wakifatiwa na City na Liverpool.

Hiyo table ulioweka hapo ni ya msimu huu, na kuna % nyingi vity watanyunyua kwapa
 
Wewe ndio umekurupuka. Hii thread ni ya siku nyingi. Hii ilikuwa ya ligi ya msimu uliopita. Ambayo mabingwa ni chelsea. Makamu bingwa ni Spurs wakifatiwa na City na Liverpool.

Hiyo table ulioweka hapo ni ya msimu huu, na kuna % nyingi vity watanyunyua kwapa

1. Nijibu swali la kwanza. Huo msimu aliosema kuwa CITY hatafika big 4 je imekuwa hivyo? maana ilikuwa ni msimu uliopita, Chelsea alikuwa bingwa na city alifika big 4.

Watu wa Chelsea mna shida sana kwenye kujibu, jibu kwa hoja na sio kuweka maneno ya vijiweni, unaposema kukurupuka hayo ni maneno ya vijiweni. hata kama nilikosea kujua tarehe ulipaswa kunielewesha From ABC , je mleta uzi alikuwa sahihi na utabiri wake? Mimi niliweka table zangu nilizokosea lakini niliweka ili kumjibu sasa wewe ungekuja na maelezo na sio ku crash,
anyway topic closed. You've won I've won, it doesn't matter.
 
1. Nijibu swali la kwanza. Huo msimu aliosema kuwa CITY hatafika big 4 je imekuwa hivyo? maana ilikuwa ni msimu uliopita, Chelsea alikuwa bingwa na city alifika big 4.

Watu wa Chelsea mna shida sana kwenye kujibu, jibu kwa hoja na sio kuweka maneno ya vijiweni, unaposema kukurupuka hayo ni maneno ya vijiweni. hata kama nilikosea kujua tarehe ulipaswa kunielewesha From ABC , je mleta uzi alikuwa sahihi na utabiri wake? Mimi niliweka table zangu nilizokosea lakini niliweka ili kumjibu sasa wewe ungekuja na maelezo na sio ku crash,
anyway topic closed. You've won I've won, it doesn't matter.
Easy easy mkuu.
 
Back
Top Bottom