Guardiola kwa aibu achezesha Waafrika Mancity lakini bado hatujaridhika

Guardiola kwa aibu achezesha Waafrika Mancity lakini bado hatujaridhika

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka Wanajamvi!

Baada ya kelele na malalamiko Pep Guardiola kocha wa timu ya mpira ya ligi kuu ya Uingereza Manchester City amewapa nafasi za kudumu na kuwachezesha waafrika wawili Ake na Manuel Akanji.

Wachezaji hao wanacheza katika safu ya ulinzi na wameweza kumudu vyema.

Kwa hilo kamashabiki wa Mancity tumefurahi na kuikaribisha kwa furaha.

Hii pia imetokana kwa kelele nyingi na malalamiko zikimuhusisha Pep kuwa mbaguzi hasa kwa wachezaji waafrika (weusi). Na labda kwa aibu kaamua kuwapa nafas za kudumu.

Ikumbukwe Samuel Etoo na Yahta Toure walishajitokeza wazi wazi na kumshutumu Pep kwa hii kasumba ya tabia yake.

Licha ya kuwachezesha Ake na Akanji bado hatujaridhi kakwasababu ni mchanganyiko mama zao wazungu. Tunataka waafrika kamili asilia mancity na Pep hana budi kufanya hivyo.

Tunataka Benjamin Mendy akishinda kesi yake ya kibaguz dhid ya ubakaji arudishwe mara moja kikosini.

Pia Coulibaly asajiliwe. Sadio Mane aletwe city na Romelo Lukaku. Na hili lifanyike haraka sana katika dirisha dogo la usajili mwezi wa kwanza 2023.

mkorea Tate Mkuu K11 General Nguli NetMaster mankachara mtabe kila sekta 2009 Greatest Of All Time
 
Tafuteni usawa kudesign ndege na technology nyingine. Maabara ziwe huku Afrika. Kusukuma kitu cha duara/tufe dkk 90 ndio mnataka usawa
 
Kocha hechezeshi wachezaj uwanjani kutokana na rangi au dini zao ila ni uwezo,falsafa na uhusiano uliopo kati ya kocha na mchezaji

Huwezi kumchezesha mtu uwanjani hata kama itikadi zenu haziendani eti kwa sababu ni muafrika au mzungu
 
Mzuka Wanajamvi!

Baada ya kelele na malalamiko Pep Guardiola kocha wa timu ya mpira ya ligi kuu ya Uingereza Manchester City amewapa nafasi za kudumu na kuwachezesha waafrika wawili Ake na Manuel Akanji.

Wachezaji hao wanacheza katika safu ya ulinzi na wameweza kumudu vyema.

Kwa hilo kamashabiki wa Mancity tumefurahi na kuikaribisha kwa furaha.

Hii pia imetokana kwa kelele nyingi na malalamiko zikimuhusisha Pep kuwa mbaguzi hasa kwa wachezaji waafrika (weusi). Na labda kwa aibu kaamua kuwapa nafas za kudumu.

Ikumbukwe Samuel Etoo na Yahta Toure walishajitokeza wazi wazi na kumshutumu Pep kwa hii kasumba ya tabia yake.

Licha ya kuwachezesha Ake na Akanji bado hatujaridhika tunata waafrika kamili asilia mancity na Pep hana budi kufanya hivyo. Tunataka Mendy akishinda kesi yake ya kibaguz dhid ya ubakaji arudishwe mara moja kikosini.

Pia Coulibaly asajiliwe. Sadio Mane aletwe city na Romelo Lukaku. Na hili lifanyike haraka sana katika dirisha dogo la usajili maezi wa kwanza 2023.

mkorea Tate Mkuu K11 General Nguli NetMaster mankachara mtabe kila sekta 2009 Greatest Of All Time

Bwege wewe!
 
Mzuka Wanajamvi!

Baada ya kelele na malalamiko Pep Guardiola kocha wa timu ya mpira ya ligi kuu ya Uingereza Manchester City amewapa nafasi za kudumu na kuwachezesha waafrika wawili Ake na Manuel Akanji.

Wachezaji hao wanacheza katika safu ya ulinzi na wameweza kumudu vyema.

Kwa hilo kamashabiki wa Mancity tumefurahi na kuikaribisha kwa furaha.

Hii pia imetokana kwa kelele nyingi na malalamiko zikimuhusisha Pep kuwa mbaguzi hasa kwa wachezaji waafrika (weusi). Na labda kwa aibu kaamua kuwapa nafas za kudumu.

Ikumbukwe Samuel Etoo na Yahta Toure walishajitokeza wazi wazi na kumshutumu Pep kwa hii kasumba ya tabia yake.

Licha ya kuwachezesha Ake na Akanji bado hatujaridhika tunata waafrika kamili asilia mancity na Pep hana budi kufanya hivyo. Tunataka Mendy akishinda kesi yake ya kibaguz dhid ya ubakaji arudishwe mara moja kikosini.

Pia Coulibaly asajiliwe. Sadio Mane aletwe city na Romelo Lukaku. Na hili lifanyike haraka sana katika dirisha dogo la usajili maezi wa kwanza 2023.

mkorea Tate Mkuu K11 General Nguli NetMaster mankachara mtabe kila sekta 2009 Greatest Of All Time

Akili yako nadhani iko kwenye makalio yako! Kama angekuwa na ubaguzi angewasajili kwa lengo gani!

Stupid!
 
Na sisi tunaomba namungo isajili wazungu kama watano ili kuondoa ubaguzi wa rangi
 
Thread ulianza vyema ila huko mwishoni kusajili hao wengine ndipo ulipoharibu.
 
Sijui ni kashoga huwa hakapendi weusi,ila sijui kwanini kadabra alitakaga kukabalck belt.
 
Wewe jamaa ni popoma kweli....kwaiyo mchezaji acheze kwa sababu ni mweusi na si kwa sababu ya kiwango? Imagine et Mendy amuweke benchi cancelo,lukaku amuweke benchi haaland.....pumbaf kabisa
 
PEP GUARDIOLA
Hilo jamaa lako ni libaguzi sana kwa wachezaji wenye ngozi nyeusi. Sijui ni kwa nini Juma Mgunda anakubali kuitwa jina la Guardiola Mnene!

YaYa Toure na Samwel Etoo hawana hamu naye huyu jamaa.
 
Mzuka Wanajamvi!

Baada ya kelele na malalamiko Pep Guardiola kocha wa timu ya mpira ya ligi kuu ya Uingereza Manchester City amewapa nafasi za kudumu na kuwachezesha waafrika wawili Ake na Manuel Akanji.

Wachezaji hao wanacheza katika safu ya ulinzi na wameweza kumudu vyema.

Kwa hilo kamashabiki wa Mancity tumefurahi na kuikaribisha kwa furaha.

Hii pia imetokana kwa kelele nyingi na malalamiko zikimuhusisha Pep kuwa mbaguzi hasa kwa wachezaji waafrika (weusi). Na labda kwa aibu kaamua kuwapa nafas za kudumu.

Ikumbukwe Samuel Etoo na Yahta Toure walishajitokeza wazi wazi na kumshutumu Pep kwa hii kasumba ya tabia yake.

Licha ya kuwachezesha Ake na Akanji bado hatujaridhika tunata waafrika kamili asilia mancity na Pep hana budi kufanya hivyo. Tunataka Mendy akishinda kesi yake ya kibaguz dhid ya ubakaji arudishwe mara moja kikosini.

Pia Coulibaly asajiliwe. Sadio Mane aletwe city na Romelo Lukaku. Na hili lifanyike haraka sana katika dirisha dogo la usajili maezi wa kwanza 2023.

mkorea Tate Mkuu K11 General Nguli NetMaster mankachara mtabe kila sekta 2009 Greatest Of All Time
Madhara ya ccm kukaa madaraka muda mrefu ndiyo haya aisee
 
Shida ya mtu mweusi ni kupenda kulalamika bila sababu za msingi hiki ni kiashiria cha inferiority complex.

Timu ni ya wazungu hata wakiweka wazungu wote, shida iko wapi?

Mbona nyie timu zenu huku Afrika hakuna wazungu na hawalalamiki.

Kenge nyie.
Nimecheka balaaa tena kwa sauti kubwa.
 
Back
Top Bottom