Guardiola kwa aibu achezesha Waafrika Mancity lakini bado hatujaridhika

Guardiola kwa aibu achezesha Waafrika Mancity lakini bado hatujaridhika

Mzuka Wanajamvi!

Baada ya kelele na malalamiko Pep Guardiola kocha wa timu ya mpira ya ligi kuu ya Uingereza Manchester City amewapa nafasi za kudumu na kuwachezesha waafrika wawili Ake na Manuel Akanji.

Wachezaji hao wanacheza katika safu ya ulinzi na wameweza kumudu vyema.

Kwa hilo kamashabiki wa Mancity tumefurahi na kuikaribisha kwa furaha.

Hii pia imetokana kwa kelele nyingi na malalamiko zikimuhusisha Pep kuwa mbaguzi hasa kwa wachezaji waafrika (weusi). Na labda kwa aibu kaamua kuwapa nafas za kudumu.

Ikumbukwe Samuel Etoo na Yahta Toure walishajitokeza wazi wazi na kumshutumu Pep kwa hii kasumba ya tabia yake.

Licha ya kuwachezesha Ake na Akanji bado hatujaridhi kakwasababu ni mchanganyiko mama zao wazungu. Tunataka waafrika kamili asilia mancity na Pep hana budi kufanya hivyo.

Tunataka Mendy akishinda kesi yake ya kibaguz dhid ya ubakaji arudishwe mara moja kikosini.

Pia Coulibaly asajiliwe. Sadio Mane aletwe city na Romelo Lukaku. Na hili lifanyike haraka sana katika dirisha dogo la usajili mwezi wa kwanza 2023.

mkorea Tate Mkuu K11 General Nguli NetMaster mankachara mtabe kila sekta 2009 Greatest Of All Time
Wewe ni mjinga tu hujitambui[emoji23]
 
Hilo jamaa lako ni libaguzi sana kwa wachezaji wenye ngozi nyeusi. Sijui ni kwa nini Juma Mgunda anakubali kuitwa jina la Guardiola Mnene!

YaYa Toure na Samwel Etoo hawana hamu naye huyu jamaa.
Nini etoo,nan yaya
Guardiola alimpiga bench SEYDOU KEITA na ametoka kumnunua kwa mil 32(ada kubwa ya usajil kwa kipnd kile kwa mchezaj kutoka africa) na akacheza mech 22 ndan ya miaka 3...huyu ndo PEP GUARDIOLA hayumbi kwa maneno ya kutia huruma
 
Mzuka Wanajamvi!

Baada ya kelele na malalamiko Pep Guardiola kocha wa timu ya mpira ya ligi kuu ya Uingereza Manchester City amewapa nafasi za kudumu na kuwachezesha waafrika wawili Ake na Manuel Akanji.

Wachezaji hao wanacheza katika safu ya ulinzi na wameweza kumudu vyema.

Kwa hilo kamashabiki wa Mancity tumefurahi na kuikaribisha kwa furaha.

Hii pia imetokana kwa kelele nyingi na malalamiko zikimuhusisha Pep kuwa mbaguzi hasa kwa wachezaji waafrika (weusi). Na labda kwa aibu kaamua kuwapa nafas za kudumu.

Ikumbukwe Samuel Etoo na Yahta Toure walishajitokeza wazi wazi na kumshutumu Pep kwa hii kasumba ya tabia yake.

Licha ya kuwachezesha Ake na Akanji bado hatujaridhi kakwasababu ni mchanganyiko mama zao wazungu. Tunataka waafrika kamili asilia mancity na Pep hana budi kufanya hivyo.

Tunataka Mendy akishinda kesi yake ya kibaguz dhid ya ubakaji arudishwe mara moja kikosini.

Pia Coulibaly asajiliwe. Sadio Mane aletwe city na Romelo Lukaku. Na hili lifanyike haraka sana katika dirisha dogo la usajili mwezi wa kwanza 2023.

mkorea Tate Mkuu K11 General Nguli NetMaster mankachara mtabe kila sekta 2009 Greatest Of All Time
Unataka? umechangia shilingi ngapi katika usajili? ngoja😀
😀
 
Kweli humu ndani hamjui mpira hata riyad mahrez hamumjui ni muafrika ?
 
Kweli humu ndani hamjui mpira hata riyad mahrez hamumjui ni muafrika ?
Mkuu usikurupukesoma vizuri. Neno muafrika limesimamia mtu mweusi. Riyadh kazaliwa Africa lakini Siyo muafrika usituchefue bana
 
Ake - Belgium
Akanji - Switzerland




Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ndio lakini ni waafrika yote hayo najua japo mama zao ni wazungu. Rashford, vincius jr, Neymar, rudigger, lukaku, pogba, sancho, musiala, matip, sakaetc wote hao ni waafrika. Narudia tena Riyad mahrez siyo mwafrika japo katokea Africa.
 
Nini etoo,nan yaya
Guardiola alimpiga bench SEYDOU KEITA na ametoka kumnunua kwa mil 32(ada kubwa ya usajil kwa kipnd kile kwa mchezaj kutoka africa) na akacheza mech 22 ndan ya miaka 3...huyu ndo PEP GUARDIOLA hayumbi kwa maneno ya kutia huruma
Hata usemeje baguz tu. Kawafukuza , kompany, Ferdadinh, Jeesus na sterling baguz tuu
 
Nini etoo,nan yaya
Guardiola alimpiga bench SEYDOU KEITA na ametoka kumnunua kwa mil 32(ada kubwa ya usajil kwa kipnd kile kwa mchezaj kutoka africa) na akacheza mech 22 ndan ya miaka 3...huyu ndo PEP GUARDIOLA hayumbi kwa maneno ya kutia huruma
Hata usemeje baguz tu. Kawafukuza , kompany, Ferdadinh, Jeesus na sterling baguz tuu
 
Ndio lakini ni waafrika yote hayo najua japo mama zao ni wazungu. Rashford, vincius jr, Neymar, rudigger, lukaku, pogba, sancho, musiala, matip, sakaetc wote hao ni waafrika. Narudia tena Riyad mahrez siyo mwafrika japo katokea Africa.
Una kichaa wewe!
 
Hii nchi ina watu wajinga Sanaa ,mpaka unawaonea huruma ,masikini ona Kama huyu mtoa mada aanavyoonesha ujinga wake hadharani,mpaka aibu ....ni masikitiko makubwa vijana kuwa vilaza namna hii ...mama Samia unakazi kubwa sana
 
Hii nchi ina watu wajinga Sanaa ,mpaka unawaonea huruma ,masikini ona Kama huyu mtoa mada aanavyoonesha ujinga wake hadharani,mpaka aibu ....ni masikitiko makubwa vijana kuwa vilaza namna hii ...mama Samia unakazi kubwa sana
Inauma kweli asee. Haya amka acha kuning'iniza poumbou hapo sofani sebuleni kamfungulie geti shemeji Yako anapiga honi.

Kammoon!

Mzee Shirimaa
 
Mkuu usikurupukesoma vizuri. Neno muafrika limesimamia mtu mweusi. Riyadh kazaliwa Africa lakini Siyo muafrika usituchefue bana
usitake kubadilisha maana ili muonekane mnaeleweka
kama ni watu weusi mbona mmewakataa akanji na Ake ?
 
Mzuka Wanajamvi!

Baada ya kelele na malalamiko Pep Guardiola kocha wa timu ya mpira ya ligi kuu ya Uingereza Manchester City amewapa nafasi za kudumu na kuwachezesha waafrika wawili Ake na Manuel Akanji.

Wachezaji hao wanacheza katika safu ya ulinzi na wameweza kumudu vyema.

Kwa hilo kamashabiki wa Mancity tumefurahi na kuikaribisha kwa furaha.

Hii pia imetokana kwa kelele nyingi na malalamiko zikimuhusisha Pep kuwa mbaguzi hasa kwa wachezaji waafrika (weusi). Na labda kwa aibu kaamua kuwapa nafas za kudumu.

Ikumbukwe Samuel Etoo na Yahta Toure walishajitokeza wazi wazi na kumshutumu Pep kwa hii kasumba ya tabia yake.

Licha ya kuwachezesha Ake na Akanji bado hatujaridhi kakwasababu ni mchanganyiko mama zao wazungu. Tunataka waafrika kamili asilia mancity na Pep hana budi kufanya hivyo.

Tunataka Benjamin Mendy akishinda kesi yake ya kibaguz dhid ya ubakaji arudishwe mara moja kikosini.

Pia Coulibaly asajiliwe. Sadio Mane aletwe city na Romelo Lukaku. Na hili lifanyike haraka sana katika dirisha dogo la usajili mwezi wa kwanza 2023.

mkorea Tate Mkuu K11 General Nguli NetMaster mankachara mtabe kila sekta 2009 Greatest Of All Time
Utatoa sh ngap mkuu ili tuwasajili
 
Back
Top Bottom