Guardiola kwa aibu achezesha Waafrika Mancity lakini bado hatujaridhika

Shida ya mtu mweusi ni kupenda kulalamika bila sababu za msingi hiki ni kiashiria cha inferiority complex.

Timu ni ya wazungu hata wakiweka wazungu wote, shida iko wapi?

Mbona nyie timu zenu huku Afrika hakuna wazungu na hawalalamiki.

Kenge nyie.
Hahahaahaaa!
 
Etoo hakuwaa anajua sana

Yaya tule hajui kupiga pass

Unataka awapange afungwe?
 
Hilo jamaa lako ni libaguzi sana kwa wachezaji wenye ngozi nyeusi. Sijui ni kwa nini Juma Mgunda anakubali kuitwa jina la Guardiola Mnene!

YaYa Toure na Samwel Etoo hawana hamu naye huyu jamaa.
Hawajui mpira ao yaya toure wako na etoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…