jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 507
- Thread starter
- #41
Sasa Guardiola si yupo Man city now [emoji3] na Jana wamelikosa kombeMkuu acha kuamini vitu vya kufikirika,
Hizo team nyingine namaanisha kama vile Arsenal na Man city,je nao wana laana ya nani kutokuchukua ucl?
Mkuu hapa anaezungumziwa Ni Guardiola yeye Kama yeye kuja kuimanage timu ibebe Champs League