Guardiola: Tukifungwa na Atletico allianz arena, mniue

lemayan92

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
877
Reaction score
254
Baada ya Pep kukosolewa na waandishi wa habari hasa wa kijerumani baada ya kufungwa Estadio Vicente Calderon, ametania na kusema kwamba wanaweza kumuua kama Bayern itafungwa Allianz Arena. Alikosolewa zaidi baada ya Müller kuanzia benchi lakini yeye alisema kawaida ajazoea kucheza na washambuliaji wawili hivyo alitaka timu iwe "more stable".
Nipo pamoja na Guardiola, Bayern itashinda allianz arena na kutinga fainali.
My first eleven:
Neure

Lahm Martinez Boateng Alaba

Ribery Vidal Alonso Costa

Lewandowski Müller

NB:Guardiola hatumiagi 4:4:2 but wachezaji hawa wakiwa first eleven naamini tutashinda
 
Bayern kushinda inawezekana kabisa Germany, Ila atletico sio timu ya kudharau inaweza kwenda kuwaadhiri pale pale Bavaria,
Kocha aina ya Diego simeone Manchester United ndio palikuwa sehemu sahihi kwa sasa sio mourinho
 
Alianz arena ndo pakufNyia mauwaji simion jiandae kufaa tu maaana hamna namna
 
Thomas Muller naomba aanze mchezo....Yule jamaa kama hayupo,unakuja kumwona kafunga bao
 
Chelsea mwaka 2012 ilichukulia ndoo pale pale na Enzi hizo bayern ilikua moto kweli kweli.
 
Diego Simeone anataka kufika fainali na kushinda taji tu,tusubiri Guardiola ashinde 2-1 halafu ajifariji kashinda wakati huo atl fainal.
 
Walisema watatembea uchi wakashindwa kifo sio kitu rahisi
 
Tukuue wakati uko nyuma ya keyboard mkuu haa haa
 
Natamani sana atlet apite akutane na Real fainali tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…