The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Hawa wahenga wanachuana kwa stori za mikasa isiyoisha ya mahusiano yenye maudhui yafuatayo:
1.Wao ni vidume na daima wanagongea wenzao na kujifanya kuomba ushauri wa kuwaonea huruma huku wakijitoa kwenye mzigo kwa kusema walitegwa.
2.Wao hawatumii hela kabisa hadi kunasa ndege ulimboni
3.Mademu wakiwasaliti hujuta na huwa si sababu wanakasoro za kimapenzi bali wamepata bwege anaye wahonga na kuwapa wao.
4.Wao kila siku wanademu ambaye wna mwaka naye kwenye mahusiano na kuna ka-legendary story
1.Wao ni vidume na daima wanagongea wenzao na kujifanya kuomba ushauri wa kuwaonea huruma huku wakijitoa kwenye mzigo kwa kusema walitegwa.
2.Wao hawatumii hela kabisa hadi kunasa ndege ulimboni
3.Mademu wakiwasaliti hujuta na huwa si sababu wanakasoro za kimapenzi bali wamepata bwege anaye wahonga na kuwapa wao.
4.Wao kila siku wanademu ambaye wna mwaka naye kwenye mahusiano na kuna ka-legendary story