Guest gani morogoro ni nzuri

Guest gani morogoro ni nzuri

Mwanamke khanga moko, khanga ndembe ndembe! Shurti ukitoa kuoga ujivike khanga inatane na mwili! Tatulo ndani kwako tuuuu!

Hizo taulo ndo kabisaaaaaaaa! Sizigusagi!

I see nimeshha kata network wanitamanisha wallah
 
Midland lodge II ni mpyaaaaaaa! Hata shuka hazina manii za kila aina! Japo zaafuliwa ila huwa sina imani na shuka za guest!

Nashera iko poa, Morogoro Hotel (Old is Gold), Oasis (Sijui bado ipo) Gwami pia sio mbaya! kuna mpayaa iko Muhonda sijui Mahonda ilipokuwa Hunters ya zamani!!!!!

kha!!! vitaa vyote wavijua bana...au ndio waenda gegedwa huko?
 
kha!!! vitaa vyote wavijua bana...au ndio waenda gegedwa huko?

Hahahaaaaaaaaa! Enzi zangu nilikuwa mzee wa party people! Tulikuwa tunaliamsha Mji kasoro bahari na Watoto wa SUA na MZUMBE!!!!!!!!!! Ni ijumaaaa hadi Jpili! St. Patric tumesali sanaa!
 
Midland lodge II ni mpyaaaaaaa! Hata shuka hazina manii za kila aina! Japo zaafuliwa ila huwa sina imani na shuka za guest!

Nashera iko poa, Morogoro Hotel (Old is Gold), Oasis (Sijui bado ipo) Gwami pia sio mbaya! kuna mpayaa iko Muhonda sijui Mahonda ilipokuwa Hunters ya zamani!!!!!

Gwami mpya iko kihonda sio muhonda!
 
Muheshimiwa kama upo kwenye ndoa nafikiri sehemu nzuri ya kujipumzisha na mwenza wako, ni kwako unapo ishi. 15 au 20 unayotaka ukalipie izo sehemu. Nenda kalipe zaka nawe utabarikiwa.
 
Hahahaaaaaaaaa! Enzi zangu nilikuwa mzee wa party people! Tulikuwa tunaliamsha Mji kasoro bahari na Watoto wa SUA na MZUMBE!!!!!!!!!! Ni ijumaaaa hadi Jpili! St. Patric tumesali sanaa!


hahaha wacha zako usijirushe ze club na four stars ...huko ulipo taja weye sio kwa watotot wa sua na mzumbe ...huko unapeleka wake za watu hahah na viichana vya matawi ya juu...piga papuchi mpaka anakubali game lako.
 
Hahahaaaaaaaaa! Enzi zangu nilikuwa mzee wa party people! Tulikuwa tunaliamsha Mji kasoro bahari na Watoto wa SUA na MZUMBE!!!!!!!!!! Ni ijumaaaa hadi Jpili! St. Patric tumesali sanaa!

ndio maana movement ya dar moro ijumaa hadi jumapili inakuwa ya tabu kweli unakata ticket ya abood saa6 mchana unaondoka saa kumi. Kwasababu ya vyuo vikuu vingi moro watu wengi wanafata totoz na semina nyingi sana zinfanyika moro full kujiachia mwaya maana ukishakuwa na familia huwez tena fanya hayo. Menikumbusha mbali.
 
Back
Top Bottom