Mwanamke khanga moko, khanga ndembe ndembe! Shurti ukitoa kuoga ujivike khanga inatane na mwili! Tatulo ndani kwako tuuuu!
Hizo taulo ndo kabisaaaaaaaa! Sizigusagi!
vipi bwana GOOGLE unataka umdondokee au??
mtalaania wote maana na wewe umechangia kumuelekeza
Midland lodge II ni mpyaaaaaaa! Hata shuka hazina manii za kila aina! Japo zaafuliwa ila huwa sina imani na shuka za guest!
Nashera iko poa, Morogoro Hotel (Old is Gold), Oasis (Sijui bado ipo) Gwami pia sio mbaya! kuna mpayaa iko Muhonda sijui Mahonda ilipokuwa Hunters ya zamani!!!!!
kha!!! vitaa vyote wavijua bana...au ndio waenda gegedwa huko?
Midland lodge II ni mpyaaaaaaa! Hata shuka hazina manii za kila aina! Japo zaafuliwa ila huwa sina imani na shuka za guest!
Nashera iko poa, Morogoro Hotel (Old is Gold), Oasis (Sijui bado ipo) Gwami pia sio mbaya! kuna mpayaa iko Muhonda sijui Mahonda ilipokuwa Hunters ya zamani!!!!!
Hapa kumejaa mijizi.nenda kahumba guest house, pale unapata kitu
Basi namshauri aende mwanga lodge, ipo area 5 , inatizamana na Oilcom, nafikiri bei bado ipo kati ya 15-20,000/=Hapa kumejaa mijizi.
Hahahaaaaaaaaa! Enzi zangu nilikuwa mzee wa party people! Tulikuwa tunaliamsha Mji kasoro bahari na Watoto wa SUA na MZUMBE!!!!!!!!!! Ni ijumaaaa hadi Jpili! St. Patric tumesali sanaa!
Hapa kumejaa mijizi.
Hahahaaaaaaaaa! Enzi zangu nilikuwa mzee wa party people! Tulikuwa tunaliamsha Mji kasoro bahari na Watoto wa SUA na MZUMBE!!!!!!!!!! Ni ijumaaaa hadi Jpili! St. Patric tumesali sanaa!