Haaahaaa...Uzi wako wa kishetwain unasherekea 5 anniversary[emoji23] [emoji23]Aisee NIMEOKOKA sitaki tena habari hizi za kishetani. Haleluyaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...nakupendaga bureeGesti ina vyumba vikubwa mnaweza cheza rede na mume wa mtu.
Bafu kama chumba cha kupanga Mabibo kota.
Ila ya kizamani sana.
Gari inapaki mlangoni kwako
Na kuna ile moja iko pale Malapa.
Gesti ina ngazi na makona kona kama unaenda akhera.
Mwenye Uzi ...eti kaokoka nowdays[emoji15] [emoji15]Nani kafukua hili kaburi shemeji?
@Rich Pol uliua kule kwenye comment yako first page[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Daaah wamekuingiza mpaka hapo? [emoji38] [emoji38] [emoji38] mimi nilipotea wakati wa kutoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena hiyo bastola iwe na uwezo wa kupiga risasi kwenda kwa muhusika hata kama yupo Guest gani iwe inasensiNahitaji kuwa na bastola jamani nifanyeje?
Lazima hiyo....zote nimeziandika kwenye notebook! Mmenifurahisha huu Uzi!
Ukipotea location nimbie nitakupelekaLazima hiyo....zote nimeziandika kwenye notebook! Mmenifurahisha huu Uzi!
Sasa zamu ya shemeji yenu kumzururisha yaan ni kata mti panda mti[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa nakufahamu, itakuwa mtoto wa keko wwTwiga Inn keko juu njia ya kuelekea jkt
Kwa Mzee Otto, zamani si ndio ilikuwa Yagga Guest House, nina historia kubwa sn na hiyo guest nikiwa dalasa la 3Twiga Inn keko juu njia ya kuelekea jkt
Ila pamekaa ki hatari ukifumaniwa kusepa kwake kugumu, wangekuwa na tu emergency doors kule nyuma ya uwanja wa mchanga uki escape safely unapitia na kadi ya ccm kabisa pale tawini.Kwa Mzee Otto, zamani si ndio ilikuwa Yagga Guest House, nina historia kubwa sn na hiyo guest nikiwa dalasa la 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kk, pande za Keko Juu (KJ)Ila pamekaa ki hatari ukifumaniwa kusepa kwake kugumu, wangekuwa na tu emergency doors kule nyuma ya uwanja wa mchanga uki escape safely unapitia na kadi ya ccm kabisa pale tawini.
hivi witness hilo tako lako auLazima hiyo....zote nimeziandika kwenye notebook! Mmenifurahisha huu Uzi!
Sasa zamu ya shemeji yenu kumzururisha yaan ni kata mti panda mti[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
poa naomba unitumie picha dm
PAKO VIZURI AISEETwiga Inn keko juu njia ya kuelekea jkt