Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

BlueBird unaingilia round about ya Mlimani city unatambaa na service road Kama unaelekea 5N bar ukifika Hapo uliza yoyote unaonyeshwa
 
Kiboko ni Imasco Temeke mpaka gari inaingia ndani garage ukipaki unaibukia direct chumbani, mkitaka hamuonekani wote hata kwa mhudumu, pesa unapenyesha chini ya mlango, ukitaka kinywaji ndiyo mmoja wenu ataonekana kwa mhudumu mmoja tu.

Body without head
Imasco bado ipo?
 
Tusimulie ankoo[emoji1787][emoji1787]
Anko upo hadi huku [emoji1][emoji1]
Kiukweli ujana wangu nimeuanzia hapo, ilikuwa ni mwendo wa dakika 5 tu kufika hapo nikitoka home kwa kukatisha makaburini.
Tumekunywa sana bia za kupima siku za disco
 
Anko upo hadi huku [emoji1][emoji1]
Kiukweli ujana wangu nimeuanzia hapo, ilikuwa ni mwendo wa dakika 5 tu kufika hapo nikitoka home kwa kukatisha makaburini.
Tumekunywa sana bia za kupima siku za disco
Hujamaliziaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom