Mungu wangu!Ukitoka zanzibar kituo kinakuja chanika inkuj namanga..hata ukiingilia namanga poa tu..uliza who told u iko wap utaelekezwa..i mean km unaenda bunju
hahahaa unawaza hasi tu muoneMungu wangu!
Tutakuja kufumaniana bila kujua...hahahaa unawaza hasi tu muone
oh okay sawa....vipi kumejificha ficha vizuri?Ukitoka zanzibar kituo kinakuja chanika inkuj namanga..hata ukiingilia namanga poa tu..uliza who told u iko wap utaelekezwa..i mean km unaenda bunju
Jf ina vipuri hatariUkitoka zanzibar kituo kinakuja chanika inkuj namanga..hata ukiingilia namanga poa tu..uliza who told u iko wap utaelekezwa..i mean km unaenda bunju
Ha ha haAny updates
Naomba ufafanuzi wa hiyo ya kigamboni
Imasco bado ipo?Kiboko ni Imasco Temeke mpaka gari inaingia ndani garage ukipaki unaibukia direct chumbani, mkitaka hamuonekani wote hata kwa mhudumu, pesa unapenyesha chini ya mlango, ukitaka kinywaji ndiyo mmoja wenu ataonekana kwa mhudumu mmoja tu.
Body without head
Kiwanja bora kabisa kwa miaka ya 90.Imasco bado ipo?
Tusimulie ankoo[emoji1787][emoji1787]Kiwanja bora kabisa kwa miaka ya 90.
Nimemkumbuka mbali sana
La vista magomeniKuna moja inaitwa "Bora Imani Guest House" iko kwa Mtogole!
Anko upo hadi huku [emoji1][emoji1]Tusimulie ankoo[emoji1787][emoji1787]
Hujamaliziaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Anko upo hadi huku [emoji1][emoji1]
Kiukweli ujana wangu nimeuanzia hapo, ilikuwa ni mwendo wa dakika 5 tu kufika hapo nikitoka home kwa kukatisha makaburini.
Tumekunywa sana bia za kupima siku za disco