Mmmh Watu wabaya sana...mimi sina habari na wake za Watu ila hapo Kibadamo nimewahi pumzika na shemeji yenu ni patulivu sana na Wale wahudumu wastaarabu sana, mara zote naenda na mpenzi wangu na wanatuhudumia vizuri, wanashangaa jinsi ninavyompenda mpenzi wangu..naonaga kama wanatamani wangekua wao vile..ha ha!natania tuu...
NB ACHENI WIZI WA WAKE/WAUME ZA WATU MTAPIGWA RISASI.