Watu wanamegana kwenye vichaka, kwenye magari, ******, nk.
Mimi nshawahi kuwakurupusha wawili wakimegana nyuma ya nyumba yetu...kulikuwa na kichaka cha michongoma ile ya ulimbo...hehehee basi bana acha watoke baruti..utadhani walikuwa na motor miguuni....niliachiwa mavumbi tu nyuma...nikaanguka kwa kicheko!