tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 64
Watu wanamegana kwenye vichaka, kwenye magari, ******, nk.
Mimi nshawahi kuwakurupusha wawili wakimegana nyuma ya nyumba yetu...kulikuwa na kichaka cha michongoma ile ya ulimbo...hehehee basi bana acha watoke baruti..utadhani walikuwa na motor miguuni....niliachiwa mavumbi tu nyuma...nikaanguka kwa kicheko!
Wengine makaburini/nyumba za ibada...