Guest zote zingekuwa hivi.........

Guest zote zingekuwa hivi.........

Watu wanamegana kwenye vichaka, kwenye magari, ******, nk.

Mimi nshawahi kuwakurupusha wawili wakimegana nyuma ya nyumba yetu...kulikuwa na kichaka cha michongoma ile ya ulimbo...hehehee basi bana acha watoke baruti..utadhani walikuwa na motor miguuni....niliachiwa mavumbi tu nyuma...nikaanguka kwa kicheko!

Wengine makaburini/nyumba za ibada...
 
kwani wanavilinda vyumba? Si mnachukua vyumba viwili, halafu mmoja anahamia kwa mwenzake kinyemela?
wabongo kwa kuumiza kichwa balaa.nimeipenda hii ya kuchukua vyumba viwili ucku mmoja anahama.hiyo poteza mbaya mkuu
 
Mnachukua kila mtu chumba chake halafu usiku mtambelea wala haina shida. Watu tumewahi kulala kwenye hosteli za masista wa Katoliki, mlinzi akala rushwa na gemu ikapigwa usiku kucha kama kawaida tu! Cheti cha ndoa my ass!!

Masaki umeniacha mdomo wazi
 
Wana JF kwani cheti cha NDOA kina PICHA? Its Only name and if you have another wedding band mbona "mnashilikiana tu"
 
Back
Top Bottom