Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.


Bwana Raimundo Pereira ambae alikuwa spika wa bunge la nchi hio, ameapishwa kuwa raisi wa muda siku ya jumanne iliopita.
View attachment 3747
Raisi Raimundo Pereira
Kwa mujibu wa katiba ya nchi hio yenye watu wasiozidi milioni 6, raisi wa muda anatakiwa aandae uchaguzi wa raisi ndani ya siku sitini.
Hali katika mji wa Bissau ni shwari na wananchi wameanza kurejea kufanya shughuli zao za kila siku ingawa wanunuzi wamekuwa na wasiwasi wa vurugu zingine.
Source: AFP
Nchi ina watu 1.6 m angalia data zako tena!

