GUMZO la Magufuli Uchaguzi Wa Kenya

My friend Shilatu,
Pamoja na kuandika kishabiki sana, nakupinga kwa herufi kubwa. Huku Tanzania kuna wakenya wengi sana!!! Kwa taarifa yako wanatazama na kuona na kufanya judgement ya kila kinachoendelea. Yapo yanayofanyika ambayo yanastahili kupongezwa kwa kuwa yanaonesha uthubutu wa kiongozi. Kwa bahati mbaya yapo yanayofanyika ambayo yanaleta picha mbaya si ndani tu hata nje. Ukizingatia desturi ya ubaya huwika kuliko wema ndg yangu. Ukimpa mtu sh.10,000 anaweza asimwambie mtu kuwa chakula anachokula ni wewe umempa hela, lakini ukimyang'anya hata sh.1000 tu utashangaa kila kona mtaani wanajua. Chuki, visasi na ukanyagaji wa uhuru wa kujieleza/habari ni moja ya mambo yaliyochangia kwa kiwango kikubwa sana kumuangusha yeyote aliyesema ataongoza kama jpm. Odinga alikuwa wazi kabisa kuhusu kuongoza kama jpm. Kenyatta alimtaja lakini siyo kwa namna unavyotaka kuaminisha watu hapa jukwaani. Wote walimtaja na walieleweka kwa namna tofauti. Unaposema utaongoza kama jpm maana yake ni nini? kuwakamata matajiri kuwaweka ndani ili wakupe pesa, kupambana na upinzani kwa nguvu zote, kuzuia mikutano ya kisiasa nchini kote, (mwanzoni iliruhusiwa ya ndani lakini naona na ya ndani nayo inawatia hofu), kuhakikisha mawaziri hawakohoi yaani wewe ndo mtendaji peke yako, kuhakikisha walio nacho wanaishi kama mashetani, kuhakikisha fedha yote ya umma inakuwa chini yako taasisi za fedha zikaukiwe. SIYO KENYA mkuu. Waliliona hilo, wanalielewa. Wakaona bora zimwi likujualo ambalo halikuli....! Kenyatta ana kaudikteta wake fulani lakini comparatively waliona hapana. Unajua kwanini? Kuna vita nyingine ni ya ubinafsi mno. Ni wapumbavu tu watakoshangilia matajiri wakinyanyasika na kukosa uwezo huku wakisahau matajiri hao wameajiri watu kwa mamia. Sipingi hatua za kupambana na ufisadi, lakini hizi za huku kwetu hapana ni zaidi ya upambanaji huo.Pen down!
 

Kila Tatizo lina njia zake za kutatua pia Ufisadi tulikuwa nao ni tofauti na uliyopo kwa jirani zetu hivyo basi busier mwepesi wa kupambanisha mambo hilihali ukakosa uona utafauti wake.

JPM kwa anachokifanya kwa Tanzania yetu iliyokuwa imeanza kupoteza dira ni sahihi na wengi tunamuunga mkono.
 
Muda ni jambo zuri. Muda utaamua, ila usije ukakimbia tena wakati huo, hata kama utakuwa umejifungua kuwa karibu na keybod yako
 
Be specific umepanga kuongelea uchaguzi wa Kenya au kumtukuza Rais Magufuli?????

Delta Force

 
Wtz tumebobea kuongea na kuchambua mambo,lije suala me kufanya kazi sasa excuse kibao as if ulifanya kazi unamfanyia mtu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wtz tumebobea kuongea na kuchambua mambo,lije suala me kufanya kazi sasa excuse kibao as if ulifanya kazi unamfanyia mtu,

Sent using Jamii Forums mobile app
Likija suala la maendeleo tunapinga au tunakubali kwa kejeli,naweza kuthubutu kusema hakuna watu waajabu kama wtz sisi,tunapenda kujitawala na ujinga mambo yakiwekwa kwenye mstari milio kibao...wenye akili zao timamu wanaelewa lakini wale walioamua vinginevyo sawa!! Huyu raisi ukiweka mabaya yake na mazuri mazuri ni mengi,siasa tunazozilizia ziliwah kutusaidia nn uko kabla...watu kazi hatutaki Ila kupiga makelele tunaweza....ni bora niseme tu JPM anastahili kupongezwa sana kwa waliotayari ambao wanaumia sana wengi wao ni wale wale ambao ata angekua nani wasingekosa la kusema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…