GUMZO la Magufuli Uchaguzi Wa Kenya

GUMZO la Magufuli Uchaguzi Wa Kenya

Aliekuwa akilitaja jina la JPM sana katika kampeni za Kenya alikuwa Raila Odinga...Of course na unaweza ona kama jina hilo limemsaidia kushinda ama kushindwa.....
Lkn kuna aliye kwenda kumpigia kampeni uhuru kenyata je matokeo imeyaonaje?hiyo inaonyesha ni jinsi gani lowasa nyota yake ilivyo mpaka pwani jubileee wamechukua na hata kwa umasaini lowasa huku Kenya yatajwa mtu ya watu,achana na hiyo inayokwenda didimiza uchumi ya tanzania,uliona wapi rais inakuwa adui ya fanya biashara kama c puuzi hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom