manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,733
Nampango wa kwenda mwezi ujao mkuu wangu...Ewaaaaa, lazima ujitofautishe na watoto mkuu wangu, utatukanwa bure halafu upige ntu na uishie lupango.
Arusha kwema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nampango wa kwenda mwezi ujao mkuu wangu...Ewaaaaa, lazima ujitofautishe na watoto mkuu wangu, utatukanwa bure halafu upige ntu na uishie lupango.
Arusha kwema?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimekusoma afandeNampango wa kwenda mwezi ujao mkuu wangu...
Lkn kuna aliye kwenda kumpigia kampeni uhuru kenyata je matokeo imeyaonaje?hiyo inaonyesha ni jinsi gani lowasa nyota yake ilivyo mpaka pwani jubileee wamechukua na hata kwa umasaini lowasa huku Kenya yatajwa mtu ya watu,achana na hiyo inayokwenda didimiza uchumi ya tanzania,uliona wapi rais inakuwa adui ya fanya biashara kama c puuzi hiyo.Aliekuwa akilitaja jina la JPM sana katika kampeni za Kenya alikuwa Raila Odinga...Of course na unaweza ona kama jina hilo limemsaidia kushinda ama kushindwa.....