RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Hilo ni shimo lakawaida hakuna Tunell ya hivo.Huyu Mzee kashaonyesha unafiki
Aachie tu hiyo nafasi aachie MTU ambaye Yuko Neutral
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni shimo lakawaida hakuna Tunell ya hivo.Huyu Mzee kashaonyesha unafiki
Aachie tu hiyo nafasi aachie MTU ambaye Yuko Neutral
Mkuu tuliza mpira., Israel kwenye vita hii ni kweli wameonyesha udhaifu mkubwa sana, tuliaminishwa Israel wana jeshi bora, silaha bora za kisasa lakini ni wataalamu wa shabaha na yoote haya tuliaminishwa kwa mdomo tu, sasa kwenye uwanja wa vita ni tofauti sana.Kama hezbollah wanajificha nyuma ya vikosi vya UN ni kuwatwanga wote
Well said, Israel ni debe tupu kila siku wanauwa watu kwenye makambi eti wanakusudia kuuwa Hamas waliojificha ukitaza maiti ni watoto wachanga na wanawake wasio na hatia, hawa ni wadhaifu kupitilizaGuterres asema shambulizi la jeshi la Israel dhidi ya kikosi cha muda cha UM nchini Lebanon linaweza kuwa uhalifu wa vita.
Msemaji wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres tarehe 13 Oktoba alitoa taarifa kuhusu kikosi cha muda cha UM nchini Lebanon, akiweka bayana msimamo kuwa watu na kambi ya kikosi cha muda cha UM nchini Lebanon hawapaswi kuwa shabaha ya mashambulizi, mashambulizi dhidi ya walinzi wa amani yanakiuka sheria ya kimataifa na sheria ya kibinadamu ya kimataifa, kitendo ambacho huenda kitakuwa uhalifu wa vita.
Bw. Guterres amesisitiza tena kuwa ni lazima kuhakikisha usalama wa wafanyakazi na mali za Umoja wa Mataifa, na ni lazima kuheshimu wakati wote bila masharti kanuni ya kutoshambuliwa kwa kambi za UM.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ieleze hiyo "konzikwenzi" tuione.Consequence yake unaijua ....au unatumia kamasi kufikiria
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ameongea vizuri kuonyesha udhaifu wa mazayuni wenzao wanalenga vituo na kambi za kijeshi wakiwa mbali wao wanauwa watu tu wanawake na watoto wachanga hawana strategies, they are very week and cowardsHuyu Gutteress kama anawakingia kifua magaidi alitakiwa ajiuzulu hiyo nafasi
Hoja yako imelalia kwenye "tuliaminishwa"!Na nani?Uhalisia wa battle ground umeuona?Ulihitaji wafanyeje kwa adui anayekaa amewakumbatia akina mama na watoto ambao walitahadharishwa awali waond9ke eneo hilo la hatari?Au unadhani wapo kwenye video games za ToD?Mkuu tuliza mpira., Israel kwenye vita hii ni kweli wameonyesha udhaifu mkubwa sana, tuliaminishwa Israel wana jeshi bora, silaha bora za kisasa lakini ni wataalamu wa shabaha na yoote haya tuliaminishwa kwa mdomo tu, sasa kwenye uwanja wa vita ni tofauti sana.
1. Vita ilipoanza tu siku ya kwanza hatukuona ubora wao ilibidi meli ya silaha itoke US kwenda Israel kuwa support hawakuwa na uwezo ata kwa wiki 1 kupambana na Hamas jeshi ambalo nalo hawakuwa na silaha za maana.
2. Ilisemekana Israel wana mfumo bora wa ulinzi wa anga Iron Dom lakini uliona namna makombora ya Iran yalivyoenda kupiga sehemu husika bila kizuizi.
3. Drone za hizbullah juzi pia zilienda kuwachakaza mitambo yao ata haikuamka kama kuna drone zinakuja kuwauwa na wanajeshi wakapukutika sihaba.
4. Israel walisema wakishambuliwa na Iran ni hapo hapo watajibu maana haimuogopi yeyote na wanauwezo kufikia popote Mashariki ya kati lakini hadi leo kuna sintofahamu wapige wapi walipize nini huu nao ni udhaifu.
Kwa msingi huo yawezekana sana Israel wanalenga tu makombora yao lakini hawajuwi wanalenga wapi na watampata nani na wakati gani, alivyosema huyu Katibu wa UN kwamba ni udhaifu wa kivita ni hakika kabisa, na Iran akiamua kuingia uwanja wa vita huyu jamaa ni dakika 10 tu itabaki historia nchi iitwayo Israel
Kwamba umeshaingia NDANI na kuona na kuona sio Tunell sioHilo ni shimo lakawaida hakuna Tunell ya hivo.
Hawashindwi kuchimba wenyewe hao Israel Ili kutafuta uhalali wa malalamiko yao.Kwamba umeshaingia NDANI na kuona na kuona sio Tunell sio
Na shimo la nini UN
Kongo, Mozambique, Central Afrika, Lebanon kote huko kitambo
Hicho ndio kifuuatacho lebanonKama hezbollah wanajificha nyuma ya vikosi vya UN ni kuwatwanga wote
Ushabiki usikutoe akili mkuuHawashindwi kuchimba wenyewe hao Israel Ili kutafuta uhalali wa malalamiko yao.
Mtu anatuonyesha mfuniko wa chemba kha..Hilo ni shimo lakawaida hakuna Tunell ya hivo.
Consequence yake UN ife tu,,,,wajulikane wa BRICS wanakaa wapi na wengine wanaenda wapi,,,,,mbona haitakua mara ya kwanza ,Mungu ajibu maombi yetu,,,,,bwana Netanyahu fumua hadi hivyo vikosi vya UNConsequence yake unaijua ....au unatumia kamasi kufikiria
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hakuna maiti hata moja hadi sasa ambayo imekuwa approved ni mwili wa askari wa hamas au hizbollah, narudia kusema kama alivyosema katibu UN ni udhaifu mkubwa kwa jeshi la Israel na netanyahu, hata huko ICC ambako kesi za mauaji zinaendeshwa Israel hawakutoa ushahidi wowote kwamba waliowaua ni maadui zao hamas, ww unakuja tu hapa na kuandika hufuatilii chochote wala kujifunza chochote.Hoja yako imelalia kwenye "tuliaminishwa"!Na nani?Uhalisia wa battle ground umeuona?Ulihitaji wafanyeje kwa adui anayekaa amewakumbatia akina mama na watoto ambao walitahadharishwa awali waond9ke eneo hilo la hatari?Au unadhani wapo kwenye video games za ToD?
Uwe una stara ya akili usidhihirishe UJINGA WAKO.Kama hezbollah wanajificha nyuma ya vikosi vya UN ni kuwatwanga wote
JWTZ inao askari Lebanon.
Kwa ujinga wako na wewe unaamini hayo mahandaki ya Hibzollah!?Huyu Mzee kashaonyesha unafiki
Aachie tu hiyo nafasi aachie MTU ambaye Yuko Neutral
Kumbuka katika vikosi vya UN kuna wanajeshi 150 kutoka TanzaniaKama hezbollah wanajificha nyuma ya vikosi vya UN ni kuwatwanga wote