Guterres: Israel kushambulia vikosi vya UN ni uhalifu wa kivita

Guterres: Israel kushambulia vikosi vya UN ni uhalifu wa kivita

UN ni wanafki tu kwani kwa miaka yote waliokaa kongo wameisaidia nini?
 
Hoja yako imelalia kwenye "tuliaminishwa"!Na nani?Uhalisia wa battle ground umeuona?Ulihitaji wafanyeje kwa adui anayekaa amewakumbatia akina mama na watoto ambao walitahadharishwa awali waond9ke eneo hilo la hatari?Au unadhani wapo kwenye video games za ToD?
Acha bange hasa mchana kwa jua kali.
Madai ya kujificha nyuma ya raia aliambiwa athibitishe kashindwa.
1)Aliua French Embassy Official,je Hamas walijificha mule!?
2)Aliua wanawake wanne wakiwa kanisani tena kwa sniper ambayo unapima range na kufyatua risasi,je sniper nae aliona Hamas nyuma ya wanawake wanne aliowadungua mmoja mmoja!?
3)Waliwafyatulia risasi kifuani raia wao wenyewe waliokua wakiomba msaada na kuonesha ishara ya kujisalimisha.Je nyuma yao walikua Hamas?
Acha upuuzi mkuu kutetea ufala wa hawa jamaa.
Hawa jamaa wanakosea sana ni kama wamepoteza dira.
 
Acha bange hasa mchana kwa jua kali.
Madai ya kujificha nyuma ya raia aliambiwa athibitishe kashindwa.
1)Aliua French Embassy Official,je Hamas walijificha mule!?
2)Aliua wanawake wanne wakiwa kanisani tena kwa sniper ambayo unapima range na kufyatua risasi,je sniper nae aliona Hamas nyuma ya wanawake wanne aliowadungua mmoja mmoja!?
3)Waliwafyatulia risasi kifuani raia wao wenyewe waliokua wakiomba msaada na kuonesha ishara ya kujisalimisha.Je nyuma yao walikua Hamas?
Acha upuuzi mkuu kutetea ufala wa hawa jamaa.
Hawa jamaa wanakosea sana ni kama wamepoteza dira.

Hakuna maiti hata moja hadi sasa ambayo imekuwa approved ni mwili wa askari wa hamas au hizbollah, narudia kusema kama alivyosema katibu UN ni udhaifu mkubwa kwa jeshi la Israel na netanyahu, hata huko ICC ambako kesi za mauaji zinaendeshwa Israel hawakutoa ushahidi wowote kwamba waliowaua ni maadui zao hamas, ww unakuja tu hapa na kuandika hufuatilii chochote wala kujifunza chochote.
Viarabu uchwara vilivyo viongo haviwezi kukubali.Big Nose Pause!
 
Guterres asema shambulizi la jeshi la Israel dhidi ya kikosi cha muda cha UM nchini Lebanon linaweza kuwa uhalifu wa vita.

Msemaji wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres tarehe 13 Oktoba alitoa taarifa kuhusu kikosi cha muda cha UM nchini Lebanon, akiweka bayana msimamo kuwa watu na kambi ya kikosi cha muda cha UM nchini Lebanon hawapaswi kuwa shabaha ya mashambulizi, mashambulizi dhidi ya walinzi wa amani yanakiuka sheria ya kimataifa na sheria ya kibinadamu ya kimataifa, kitendo ambacho huenda kitakuwa uhalifu wa vita.

Bw. Guterres amesisitiza tena kuwa ni lazima kuhakikisha usalama wa wafanyakazi na mali za Umoja wa Mataifa, na ni lazima kuheshimu wakati wote bila masharti kanuni ya kutoshambuliwa kwa kambi za UM.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huyu amesahau kuwa hesbora kurusha makombora ya kuishambulia israel pembeni yake kuna walinda amani wa UN ni uharifu pia,
Nami ningekuwa IDF ningefanya walichofanya,kama unalinda amani kwenye nchi isiyo na amani ni heri ukaondoka.
 
Uwe una stara ya akili usidhihirishe UJINGA WAKO.
Wewe una ushahidi wa unachoongea!?
Unajua kuna vikosi vya mataifa mangapi vya UNIFIL hadi udai Hizbollah wanajificha nyuma yao!?
Aisee we jamaa kumbe ni punga kiasi hichi!??
Sasa unabisha na kutetea nini hii dini ya mwarabu imekushika akili
 
Ndio stori ulizodanganywa madrasa
Nikikuita we fala nakukosea bro!?
Ni nini maana ya UNIFIL!?
Nani alipendekeza UNIFIL iwepo Lebanon!?
Kuna mataifa mangapi pale Lebanon chini ya mwamvuli wa UN?
Hivi unajua kama hadi JWTZ ina vijana pale Lebanon chini ya UNIFIL!?
Acha kuwa kama fala bro.
 
HAta shetani nae ana wafuasi wake ,gutierez ni mkristo na anjua nini kinachoendelea kule lebnon kuliko wewe ambae unashabikia vitu usivyovijua
Hili jamaa punga na bwabwa kabisa.
Aende akatizame vikosi vya UN viliingizwa lini Lebanon na kwa pendekezo la nani na mwaka gani na kuna nchi ngapi.
Hadi watanzania wenzake wapo hapo chini ya UN.
 
Guterres asema shambulizi la jeshi la Israel dhidi ya kikosi cha muda cha UM nchini Lebanon linaweza kuwa uhalifu wa vita.

Msemaji wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres tarehe 13 Oktoba alitoa taarifa kuhusu kikosi cha muda cha UM nchini Lebanon, akiweka bayana msimamo kuwa watu na kambi ya kikosi cha muda cha UM nchini Lebanon hawapaswi kuwa shabaha ya mashambulizi, mashambulizi dhidi ya walinzi wa amani yanakiuka sheria ya kimataifa na sheria ya kibinadamu ya kimataifa, kitendo ambacho huenda kitakuwa uhalifu wa vita.

Bw. Guterres amesisitiza tena kuwa ni lazima kuhakikisha usalama wa wafanyakazi na mali za Umoja wa Mataifa, na ni lazima kuheshimu wakati wote bila masharti kanuni ya kutoshambuliwa kwa kambi za UM.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huyu naye hizi hela za Qatar zimempumbuza kabisa ila ipo siku zitamtokea puani. Amuulize aliyekuwa Rais wa FIFA kilichomtokea.
 
Back
Top Bottom