4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
kwann mwaka 1948 hamkupambana kuunda taifa lenu wkt mlipewa eneo lenu ? badala yake mkaona muwekez kweny kupigana na waisrael , ss leo mnataka tuwasaidie nnBaada ya shambulio hili la Hamas UN wasimamie kupatikana taifa la Palestina kwa kukumbusha maazimio yote yaliyofikiwa juu ya suala hilo. Hakuna tena hadithi na danganya toto ya Israel.
Wasipofanya hivyo Hamas au wengine watavizia kufanya kama hivyo miaka ijayo na wasijelaumiwa tena.