Guys au kunamahali sijaseti sawa hii monitor mbona inazidiwa quality na TV

Guys au kunamahali sijaseti sawa hii monitor mbona inazidiwa quality na TV

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
712
Reaction score
1,748
Nilijua computer shoga yake ni monitor mwanzo nilikua na tumia TV kama monitor nikawa nahisi siitendei haki hii mashine inabidi niitafutie chakula yake ili viwe sawa leo nimepata muda nikaenda kununua monitor ya nch 20 nafika home nimeconnect ili nione je ni kweli monitor ina picha kali kuliko tv lakini naona kama hii pesa nimeitupa
20241124_172003.jpg
20241124_175902.jpg
20241124_175953.jpg
20241124_172103.jpg
20241124_180613.jpg
 
Jaribu ku connect monitor separate calibrate tu monitor. Pia si kila monitor ni nzuri, umecheki model na resolution ipo sawa? Angalau ni full HD?
 
 
Weka specifications za monitor yako au model yake tujue shida iko wapi, af pia imewai nitokea hii na connect monitor kwenye Laptop, nikiweka second screen only, inakua na quality kubwa compared to duplicate au Extend, jaribu kuchezea hizo options uone.
 
Kumbuka monitor imetengenezwa special kwa kufanyia kaz ukiwa umeitazama kwa ukaribu pasipo kuua macho au kuathirika na mionzi mikali so kioo cha tv kna mionz mikali sn si sawa na monitor ambayo hata mwanga wake si mkali sn
 
Tv ziko sharpen na enhanced (vibrancy & brighter) zaidi ya monitor ziko design hivyo kwa sababu. Mfano wanao edit pix or vid kwenye pc monitor nzuri inamfanya aweze kutengeneza vid o pix kwa standard ambayo yeyote atakaye iangalia kwenye chombo chake haone Iko sawa ( kama Tv Yako imezidi blue basi utaendelea kuona sawa na mwengine hivyo hivyo kulingana na kifaa chake). Kama nikiangalia hapo Tv Yako ina blue sana. Blue light ni hatari do calibration.
 
  • Thanks
Reactions: PYD
Back
Top Bottom