Guys kuweni makini na wake za watu.

Wengi huwa wanaingia Kwa wake za watu Kwa sababu wanawake wengi sio waaminifu, mtu unamuuliza umeolewa, anakijibu hapana yupo single, Sasa hapo unategemea nini?
Lakini kama uko makini Utajua tu kua huyu ni mali ya mtu
 
Asimuhukumu kihivyo , japo jamaa kakosea sana
 
pole ila muheshimu anayekupigia muulize nini anampa mkeo..mimi nilikuwa napigiwa na konda wa daladala ilibidi nimfuate anipe maujuzi mpaka leo ndoa imepona...kumbe mke alikuwa anataka Mauno hivi sasa tukiwa chumbani ni mauno tuuu....hivi nataka hata niende Twanga pepeta kumbe jamaa alinisaidia kugundua na kipaji changu.
 
Ndo mana nilitaka akutane na Sheikha na walimu wale wanaweza mpa mawaidha ya kupunguza kasi ya hasira, ila kama huyo mwizi wa mke wamfahamu, uangalie jinsi ya kupeleka hiyo taarifa kwake. Usiseme kama wataka kufanywa kipofu, ILA MWAMBIE KITU UNACHOFANYA NI CHA HATARI NA MUMEWE AMESHAJUA ACHA MARA MOJA.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena amfanye awe Kaoge kabisa huyo, haiwezekani watu tunaoa halafu lije jitu kuharibu ndoa.
 
Daa!,, umenikumbusha ile nyimbo nahsi ya feruzi, " mkasa wa bosi " yani maudhui ni sawa kabisa, but huyo jamaa achunguze vizuri kwanini mkewe anachepuka na MTU flani labda mambo so mazuri hapo home labda hamna mshiko nawe ndo ukaamua umwache aende ili update mteremko wa majukumu
Kama kweli unampenda mke wako jaribu kumwendea kwa utaratibu umweleze hao huwa waelewa pale wanapojua ushagundua wanachofanya

Ila jamani watu tunapenda mteremko, MTU namhangaikia mke wangu labda nishamsomesha kila kitu mie then lijamaa linakuja linamchukua kirahisi tuu , then nami namfahamu heee,

Fanya umrudishe make wako mkuui
 
Wanatutaka Wenyewe mradi tu Usikamatwe *Hainaga Mke wa mtu si Kitu hata Chuma huliwa na Kutu*
 
Aaaah jamaa kiburi, si unajua wale itakad kalii hawataki ushenzi
Itikadi Kali na ushirikina wapi na wapi? Jambo la msingi aongee na mke wake na kumpa ushahidi wa kutosha kisha aachane nae.Miongoni mwa vitu kwavyo sisi waislamu tumeruhusiwa kutoa talaka kwa mke ni kama mwanamke ni mzinifu kama mwanamke ni mshirikina kama mwanamke hapendi dini na mengineyo ruksa kumtaliki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…