UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,885
Mambo vip waungwana mko poa!?
Daaah leo nimekutana na changamoto kwangu na naona inazidi kua kubwa na pengine inaweza kuweka dosari katika maisha yangu uko mbeleni.
Kuna mtoto mmoja wa kibantu nimempata sema kunakitu kinanikera kwa kweli na nimejitahidi kuelewa lakini wapi, nimefikiria mbali sana na kuona kua mpaka sperm zangu nisipokua makini zitaishi katika mantiki ya malezi haya, ambayo huyu binti anasimamia.
Mwanzoni niliona kama anaifanya iwe ya kiheshima sababu mwenzangu anahusisha dini sana katika mahusiano af mimi sio mtu wa kuamini dini zilizoletwa na majahazi sasa kuna wakati ananialika kanisani naenda tuu lakini moyoni siko hivyo kabisaa.
Sasa leo nimempigia asubuhi tukazungumza kidogo, lakini katika maongezi akaniomba jioni nikitoka kazini nimpitie twende kanisani, aisee aliniboa lakini sikua na namna nikakubali tuu lakini moyoni natukana na kulaani aliyetuletea dini.
Kinachoniuma mtoto nizuri lakini ni mtu wa dini sana yani no shots of liqour, no wines ni mwendo wa ulokole tuuu ninavyosema mlokole mkitoka ata sehemu mtaongea mawili lakini huyo JESUS anavyotajwa mpaka inaboa yaani daah wazungu ni wangese sana kwa kutuletea hizi dini za kimapokeo.
Binafsi sijawahi kuamini dini wala kufikiri kua kunahaja ya kwenda kuabudu dini za kimapokeo zilizo nje ya utamaduni wa mtu mweusi, sasa leo nataka nikitoka kanisani nimwambie ukweli kuhusu msimamo wangu juu ya hili lakini daaah naogopa kama ntamkosa maana misimamo yake juu ya ulokole na dini ni mkubwa na sitaki anichukulie tofauti.
Kifupi namuelewa sana lakini sielewi ulokole wake ata ncha ya sindano, yani nikipanga kuonana nae jua hiyo siku hakuna kwenda bar na nikiwa bar no kunywa, sometimes washikaji wanahoji vipi nabaki kuwazuga ila moyoni najua baada ya hapa naenda kumeet na asali wa moyo, na anataka sijui msali yani zile mambo ambazo daaah kwangu ni gunia la misumari kweli kweli.
Sio siri ni mkali haswa af msomi wa nguvu anaejitegemea na ananielewa tatizo ni hizi mambo za dini kumuacha sitaki anafaa kua mke lakini mambo zake za dini zinaninyima privace kabisaa yani daah ulokole ndio kimekua kipimo cha yeye kunipima mimi kama mume mwema ndivyo ninavyomuona na kumuelewa hivyo.
Kinachonishinda ni bora ningeigiza ili nimpate lakini hata uko kuigiza kwangu ni mtiani maana chuki niliyonayo na hizi imani za majaazi ata kwenda huko kanisani nimejikaza kiume haswa, sasa kwenda kanisani sitaki na kumuacha sitaki, guys mwenye wazo mbadala nishaurini.
Daaah leo nimekutana na changamoto kwangu na naona inazidi kua kubwa na pengine inaweza kuweka dosari katika maisha yangu uko mbeleni.
Kuna mtoto mmoja wa kibantu nimempata sema kunakitu kinanikera kwa kweli na nimejitahidi kuelewa lakini wapi, nimefikiria mbali sana na kuona kua mpaka sperm zangu nisipokua makini zitaishi katika mantiki ya malezi haya, ambayo huyu binti anasimamia.
Mwanzoni niliona kama anaifanya iwe ya kiheshima sababu mwenzangu anahusisha dini sana katika mahusiano af mimi sio mtu wa kuamini dini zilizoletwa na majahazi sasa kuna wakati ananialika kanisani naenda tuu lakini moyoni siko hivyo kabisaa.
Sasa leo nimempigia asubuhi tukazungumza kidogo, lakini katika maongezi akaniomba jioni nikitoka kazini nimpitie twende kanisani, aisee aliniboa lakini sikua na namna nikakubali tuu lakini moyoni natukana na kulaani aliyetuletea dini.
Kinachoniuma mtoto nizuri lakini ni mtu wa dini sana yani no shots of liqour, no wines ni mwendo wa ulokole tuuu ninavyosema mlokole mkitoka ata sehemu mtaongea mawili lakini huyo JESUS anavyotajwa mpaka inaboa yaani daah wazungu ni wangese sana kwa kutuletea hizi dini za kimapokeo.
Binafsi sijawahi kuamini dini wala kufikiri kua kunahaja ya kwenda kuabudu dini za kimapokeo zilizo nje ya utamaduni wa mtu mweusi, sasa leo nataka nikitoka kanisani nimwambie ukweli kuhusu msimamo wangu juu ya hili lakini daaah naogopa kama ntamkosa maana misimamo yake juu ya ulokole na dini ni mkubwa na sitaki anichukulie tofauti.
Kifupi namuelewa sana lakini sielewi ulokole wake ata ncha ya sindano, yani nikipanga kuonana nae jua hiyo siku hakuna kwenda bar na nikiwa bar no kunywa, sometimes washikaji wanahoji vipi nabaki kuwazuga ila moyoni najua baada ya hapa naenda kumeet na asali wa moyo, na anataka sijui msali yani zile mambo ambazo daaah kwangu ni gunia la misumari kweli kweli.
Sio siri ni mkali haswa af msomi wa nguvu anaejitegemea na ananielewa tatizo ni hizi mambo za dini kumuacha sitaki anafaa kua mke lakini mambo zake za dini zinaninyima privace kabisaa yani daah ulokole ndio kimekua kipimo cha yeye kunipima mimi kama mume mwema ndivyo ninavyomuona na kumuelewa hivyo.
Kinachonishinda ni bora ningeigiza ili nimpate lakini hata uko kuigiza kwangu ni mtiani maana chuki niliyonayo na hizi imani za majaazi ata kwenda huko kanisani nimejikaza kiume haswa, sasa kwenda kanisani sitaki na kumuacha sitaki, guys mwenye wazo mbadala nishaurini.