guys niliwamiss sana na ninawapenda pia

guys niliwamiss sana na ninawapenda pia

jamani mabinamu wote ladies/ gents niliwamiss na nawapenda sana sina la kuwaambia
2010 sitaki kufulia tena
FL1 umekuja kivinge 2010,karibu tena na signature yako nzuri,i like it
 
mzuka sana hata mimi nilikumic kinyama ila mi mgeni ktk jamiii
kama vipi utani julisha ktk mysteriabdulyzo on the same jamii4ram au cio
 
Mm nacho kulaumu F1 umeshindwa hata kuonana na wapwazi sasa sijui tukuweke kwenye kundi la watu wenye malingo au vp?
 
Mm nacho kulaumu F1 umeshindwa hata kuonana na wapwazi sasa sijui tukuweke kwenye kundi la watu wenye malingo au vp?

am very sorry binamu zangu nilipanga ratiba na mzee akapanga ya kwake ..naomba mnisamehe bure labda hope mtaniaelewa next time
sina maringo na sina hulka hiyo ..
najua nimekuuzi vya kutosha mtu wangu lakini mie na wewe hatuzuriani
 
am very sorry binamu zangu nilipanga ratiba na mzee akapanga ya kwake ..naomba mnisamehe bure labda hope mtaniaelewa next time
sina maringo na sina hulka hiyo ..
najua nimekuuzi vya kutosha mtu wangu lakini mie na wewe hatuzuriani
...........tuendelee!...😀😀
 
Karibu tena JF na heri ya mwaka mpya sissy!!!
 
Mm nacho kulaumu F1 umeshindwa hata kuonana na wapwazi sasa sijui tukuweke kwenye kundi la watu wenye malingo au vp?

Nikurekebishe kiswahili kidogo kwenye blue ni maringo sio malingo
 
Back
Top Bottom