Guys tunachohitaji toka kwenu ni kidogo sana....................

Guys tunachohitaji toka kwenu ni kidogo sana....................

sijawahi kukielewa hiki kiumbe mwanaume kinataka nini, ukikiheshimu, kukijali na kukithamini, basi kinakudharau, ukiamua kuwa vuvuzela mambo ndo yanaenda sawa kidogo mmh maisha haya jamani tabu tupu
 
Umenikuna na ni kweli kabisa, ila ladies nao wafaham kwamba hata guys wanahitaji hizo nyama za ulimi!, nyama hii ni kupeana na si mtu mmoja ndo awe anatoa tu! 😛ound:
 
kumbe mfalme unadhani nimelala nikaota:A S 114::bounce:

wacha tujaribu kujiaminisha kuwa ni kweli wakati tukiwa kwenye mchakato wa kujua ni nini hasa kinachomtuliza mwanamke maana kuna dhana nyingi katika hili
 
Haya sasa, kila upande unadai kutoelewa viumbe wa jinsia nyingine. Btw Fl1 umekumbusha silaha muhimu sana ktk ujenzi wa "nyumba" bora icyo na mifarakano sugu. Ewe mume ewe mke, zungumza na mwenzio kila inapobidi, sio kulundika sumu za visasi moyoni!!
 
ndoa yenye amani furaha na upendo hujengwa na wandoa wte wawili wakiongozwa na roho wa mungu,masaha wa kweli na heshima ya pamoja.
 
Sisi wanawake tunavutiwa na mambo madogo sana ambayo hayahitaji kuwaumiza vichwa.. si pesa wala good looking zenu :A S 39:unaweza ukawa na yote lakini amani hakuna ndani ya nyumba
Kauli ya mwanaume ni silaha tosha ya kujenga au kubomoa ndoa yake..Mwanamke anavutia na jambo dogo liitwalo Nyama ya ulimi...
Unakuta mwanaume kadanganywa na wenzio ndoa au mahusiano yako ili yawe imara inabidi yapelekwe kijeshi..uwe mkali kama simba lah hasha hayo mahusiano hayatadumu
Kama unahisi umemkosea mwenza wako muombe samahani kwa lugha tamu
Kama yeye amekukosea na aombe samahani vilevile ....
Lugha zenu zikiwa moja ndoa /mahusiano yenu yatakuwa kama paradise ndogo
Kauli njema ni silaha
Lugha za kibabe /masimango na majivuno...yanbomoa

sawa kina baba/kaka/ dada/ mashemeji nawakilisha............................................:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

Hakuna lolote wala chochote. Wanawake ni viumbe wapuuzi sana. Hakuna kitu kigumu kama kumuelewa mwanamke. Kuwa na historia chafu ilianza zamani kwani Adamu alidanganywa na mwanamke katika ile bustani mpaka akafanya dhambi. Sometimes kuwaweka sawa viumbe hawa ni mangumi na mateke kwa sana tu na utaona mambo yananyooka na hasa wadada wa kikurya. Wanawake ni viumbe ambavyo mungu alituumbia kwa ajili ya kufyatulia watoto tu na wala si vinginevyo. Matatizo mengi ya dunia hii sababu ni mwanamke.
 
Hakuna lolote wala chochote. Wanawake ni viumbe wapuuzi sana. Hakuna kitu kigumu kama kumuelewa mwanamke. Kuwa na historia chafu ilianza zamani kwani Adamu alidanganywa na mwanamke katika ile bustani mpaka akafanya dhambi. Sometimes kuwaweka sawa viumbe hawa ni mangumi na mateke kwa sana tu na utaona mambo yananyooka na hasa wadada wa kikurya. Wanawake ni viumbe ambavyo mungu alituumbia kwa ajili ya kufyatulia watoto tu na wala si vinginevyo. Matatizo mengi ya dunia hii sababu ni mwanamke.

dah!
 
sijawahi kukielewa hiki kiumbe mwanaume kinataka nini, ukikiheshimu, kukijali na kukithamini, basi kinakudharau, ukiamua kuwa vuvuzela mambo ndo yanaenda sawa kidogo mmh maisha haya jamani tabu tupu
Hebu niPM nikupe siri yao moja......
 
Hakuna lolote wala chochote. Wanawake ni viumbe wapuuzi sana. Hakuna kitu kigumu kama kumuelewa mwanamke. Kuwa na historia chafu ilianza zamani kwani Adamu alidanganywa na mwanamke katika ile bustani mpaka akafanya dhambi. Sometimes kuwaweka sawa viumbe hawa ni mangumi na mateke kwa sana tu na utaona mambo yananyooka na hasa wadada wa kikurya. Wanawake ni viumbe ambavyo mungu alituumbia kwa ajili ya kufyatulia watoto tu na wala si vinginevyo. Matatizo mengi ya dunia hii sababu ni mwanamke.
Nadhani hapo umewatoa wafuatao:
Mama yangu, mke wangu na mabinti zangu. Otherwise utahitajika kuwaomba radhi haraka na mapema iwezekanavyo.

BTW hivi unaweza kuwaita mama zetu hawa wapuuzi? Mama yako aliyekuzaa ni mpuuzi? Kwa hapa niko against na wewe. Kwangu mimi wanawake ni watu muhimu sana. Nimefikia hapa nilipo kwa sababu ya mwanamke, naishi maisha ya raha kwa sababu ya wanawake, najisikia amani kwa sababu ya wanawake, najisikia furaha kwa sababu yao, nafaririjika kwa sababu ya wanawake. To me, without women, this world is a second hell.

Now apologise to all women before I change my mind. Am counting 9.........8.........7...........
 
kwa taarifa yenu wadada maandiko yanatutaka kuwapenda endapo mtakuwa na heshima.wanawake hamtabiriki .kifupi hakuna formula ya kuishi na mke,kuna wanaokula kichapo daily na wanakaa level.na kuna wengine japokuwa mwamume ni mkali kama simba kwa upole wa mamaa inabidi alegee.kwa hiyo ukikuta nyumba imrkaa vizuri ujue mwanamke yuko njema.ndiyo maana maandiko yakasema mwanamke mpumbavu anavunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.maana yake ni kwamba hakuna mwanamume anaevunja nyumba.fl1 changanya na zako
 
FL........wanawake wangapi waume zao wana kauli njema lakini malalamiko hayatoshi? ............

Kauli njema itasaidia lakini si hicho peke yake wanawake wote wanachotaka...................ukisikia hizo sifa mtu anazotaka mumewe awe nazo waweza jiuliza huyo mtu au malaika?

inanibidi nikubaliane na wengine kuwa wanawake hawafahamiki wanataka nini kama ilivyokuwa wanaume nao hawafahamiki.
 
mwisho wa siku kwenye mapenzi uombe bahati....
unaweza kuwa na tabia zote mbovu but still ukapata wa kukupenda
no matter what.....
na waweza kuwa uko full package na still hupendeki kihivyo.....

mapenzi ni kama kiatu vile...mwisho wa siku
unavaa kinachoku fiti,hata kama sio kizuri sana ..
kuwa cormfotable ndio kila kitu....
 
Kuishi na wanawake/wanaume katika raha iliyokaa mbali na karaha ni tungo tata ambayo haina kanuni ya mjumuiko ili kuitatua.
Nyama ya ulimi ni ki sehemu tu katika mambo meengi yanayotakiwa kufanyika ili kuikwepa karaha!
Kama yalivyo maswali mengi katika hesabu kuwa na njia nyingi lakini jibu moja, ndivyo pia ilivyo kupata raha katika mahusiano ya hawa wawili.
Tujitahidi kuziweka wazi njia zote zinazoweza kuwa suhulu la tatizo lakini ifahamike wazi kuwa usare wa njia ni kitendawili.
Mwamke/Mwanamume: Njia utakayoona ni bora kwako katika hizi zinazoelezwa/unayoifahamu ni bora kukuweka mbali na karaha.
Kwa fulani eti best au shostito anafanya hivi na mimi nifanye ili nifanikiwe, mara nyingi haizai matunda. Be YOU as YOU.
 
Nadhani hapo umewatoa wafuatao:
Mama yangu, mke wangu na mabinti zangu. Otherwise utahitajika kuwaomba radhi haraka na mapema iwezekanavyo.

BTW hivi unaweza kuwaita mama zetu hawa wapuuzi? Mama yako aliyekuzaa ni mpuuzi? Kwa hapa niko against na wewe. Kwangu mimi wanawake ni watu muhimu sana. Nimefikia hapa nilipo kwa sababu ya mwanamke, naishi maisha ya raha kwa sababu ya wanawake, najisikia amani kwa sababu ya wanawake, najisikia furaha kwa sababu yao, nafaririjika kwa sababu ya wanawake. To me, without women, this world is a second hell.

Now apologise to all women before I change my mind. Am counting

9.........8.........7...........


No way siombi msamaha kwa mtu yoyote. Wanawake wote ni wapuuzi katika dunia hii. Iwe alikuzaa, atakuzaa ama aliwazaa so long as ni mwanamke ni mpuuzi full stop.

Dunia bila wanawake ingekuwa na amani kubwa sana.
 
No way siombi msamaha kwa mtu yoyote. Wanawake wote ni wapuuzi katika dunia hii. Iwe alikuzaa, atakuzaa ama aliwazaa so long as ni mwanamke ni mpuuzi full stop.

Dunia bila wanawake ingekuwa na amani kubwa sana.

OMG!!! Tema mate chini kabla laana ya mama yako haijakutokea. Usije ukasema sikukushauri...............
 
Niliwahi kuwaza kuwa nipost thread inayosema 'wanawake hawajui wanachopenda', lakini nikaona nifanye utafiti zaidi. Sasa hii ya leo imenithibitishia kuwa wanawake hawajui wanachopenda. Katika pitapita zangu zote mashuleni, vyuoni na mitaani, zaidi ya asilimia 80 (nakadiria) ya wanawake wazuri, wanaokubalika kwa wanaume wengi, wazuri kwa sura au tabia, wenye busara na hata akili darasani... wanaishia kuchukuliwa na wanaume wababe na wakorofi na wahuni na wagomvi. Wanaume ambao sio kitu cha ajabu kusikia kamchapa vibao demu wake hadharani kwa kosa ambalo sometimes kafanya yeye mwenyewe. Wanaume wapole, wataratibu, wenye busara, mara nyingi wameishia kuchukua wanawake wahuni, wasio waaminifu au waliofulia (kimvuto)... so I conclude that, wanawake namjui mnachopenda

Dokezo; wanaume wakorofi na wahuni mara nyingi ni kutokana na kuwa na level kubwa ya testosterone hormone; the hormone of love and sex in men!!!!!
 
Back
Top Bottom