Guys, yale magonjwa tuliodhania hadi ufike 50+ sasa hivi yanaanza kuandamana vijana kuanzia 35+ tena kwa mkupuo

Guys, yale magonjwa tuliodhania hadi ufike 50+ sasa hivi yanaanza kuandamana vijana kuanzia 35+ tena kwa mkupuo

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Tuendelee kuchukua hatua wakuu. Inaweza kuwa ngumu sana kukimbia huu mtindo wa mlo na maisha ila inawezekana kubalance.

TUKIWEZA KUBALANCE HIZI MAMBO:
Soda drinks. Milo, cocoa, coffee
Energy drinks. Carbonated milk
Carbonated drinks. Kiti moto
Spirits. Nyama choma
Pombe. Mlo wa kukaanga
Gongo. Kuku wa kisasa
Beer. Biscuits, cookies
Mwanga wa simu. Ngono kavu kavu
Kukaa muda mrefu. Kazi za vumbi
Sauti kali masikioni. Sigara, shisha.
Vidonge maumivu.

BASI TUTAWEZA KUOKOA HIZI MAMBO:
Mifupa, mfumo wa ufahamu, mfumo wa akili, moyo, mishipa, mfumo wa mkojo, mfumo wa uchujaji mwilini, mfumo wa damu, mfumo wa kuona , mfumo wa kusikia, mfumo wa kubalance sukari mwilini,

Kama uko vizuri na hauna muda wa kwenda jogging, nunua hata kabaiskeli ka mazoezi (kuanzia tsh 350k+), kama uko under budget tenga muda wako kufanya jogging.

Tusisahau kula vyakula kwa wingi ambavyo ni natural detox (vinavyosaidia kuondoa sumu mwilini) kwenye miili yetu kama vile spinach, avocado, sukuma wiki, green tea, Maji kwa wingi, limao, vitunguu swaumu, tangawizi,

ILA ALL IN ALL TUJENGE UTAMADUNI WA KUFANYA CHECK UP
 
Mtindo wa maisha ndio chanzo kikuu Cha kushamiri kwa tatizo hili. Vyakula ni kiini cha kuwepo kwa janga hili.

Vyakula vingi Sana ni artificial, GMO, havina viwango bora.
Mamlaka za Udhibiti ubora nazo ni sawa na hakuna kitu, completely hopeless.
There is no Competent Authorities for Controlling the Food Quality and Security.
 
Nimeona kitimoto, kitimoto inashida gani?
Unapuzungumza mwanga wa simu kwanini usizungumzie mwanga wa taa za tanesco,solar,kuni, jua,vehicle?
Unajua kwamba mwanga wa jua unasababisha Kansa ya ngozi?
Ebu tupe darasa.
 
Nina rafiki zangu tuliosoma nao O-level wao kila jioni lazima warushe picha wanakunywa pombe weekend ndiyo balaa pombe zenyewe majina mapya, mpk huwa najiuliza huwa hawachoki?
Si viungo vya ndani vitakuwa vimechoka sana!
 
Back
Top Bottom