Nndu wa Selote
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 733
- 520
Hivi mtu mwenye level ya Askofu anagombea Ubunge ili iweje?Mimi ni mpiga kura kituo kimojawapo Mbezi Beach. Hakika sitampa kura Gwajima na wana CCM wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mtu mwenye level ya Askofu anagombea Ubunge ili iweje?Mimi ni mpiga kura kituo kimojawapo Mbezi Beach. Hakika sitampa kura Gwajima na wana CCM wengine
Kwa Waislamu watakaomchagua au KUMFANYIA KAMPENI GWAJIMA KWA MUJIBU WA KAULI ZAKE WATAKUWA WAMEJIHALALISHIA RASMI MISIKITI KUGEUZWA SUNDAY SCHOOL NA KWA WAKATOLIKI WATAKAOMCHAGUA AU KUMFANYIA KAMPENI WATAKUWA WAMERUHUSU AWATUSI MAPADRE, MAASKOFU KATOLIKI AMA KARDINALI HATA PAPA PASIPO KUHOJIWA KOKOTE MAANA ATAKUWA NA KINGA.Usiishie kupiga kura tu bali piga kampeni za nguvu ili uwafunue macho Waislamu wenzio kutomchagua huyo tapeli. Kama hakutakuwa na wizi haendi kokote huyo mkoromije.
Huyo ni msemaji wa simba, punguza uwakiKaambiwa na sheikh hapo kuwa rangi ya shati lake si rasmi na kwamba anatakiwa avae jekundu......
Eti mwenyewe anacheka asijue kuwa hilo ni dongo kuwa chama (rangi) anayoombea ubunge masheikh hao hawakitaki bali rangi nyekundu (CUF/CDM).
Neno "hadaa" limenikumbusha mpemba mmoja tulisoma nae alitupigia story moja hivi.Title ya uzi ni Grammy award winning😂😂
Bora nmpgie kura mdee Ila cio uyo Gwajima limemshnda kanisa ataweza siasaBaada ya kuahidi kuwa akipata nafasi ataigeuza misikiti kuwa Sunday school mpaka hatimae akateuliwa ili atimilize jambo lake. Ameanza kupita kwa Waislam kuwahadaa ili wasimkate kwe kura.
Aidha Gwajima amekua akionekana akitaka kutumia mahusiano yake na waislam ili ajipatie kura wakati aliahidi anataka kufuta misikiti yao. Hapa chini ni video wakati akipita pita katika nyanja zake. Chonde wana kawe huyu mtu anataka kutugawanya hatufai kabisa.
View attachment 1555347
Sasa cc wanakawe tukubali kuongozwa na Muhuni. Aliyejitangaza wazi kwamba ni Muhuni Mdee anadharau sana na ametidhalilisha Familia ya wana kawe kwamba wanampigia kura Muhuni. Au kuna kaukweli kwamba wana mahusiano na Esta BulayaBaada ya kuahidi kuwa akipata nafasi ataigeuza misikiti kuwa Sunday school mpaka hatimae akateuliwa ili atimilize jambo lake. Ameanza kupita kwa Waislam kuwahadaa ili wasimkate kwe kura.
Aidha Gwajima amekua akionekana akitaka kutumia mahusiano yake na waislam ili ajipatie kura wakati aliahidi anataka kufuta misikiti yao. Hapa chini ni video wakati akipita pita katika nyanja zake. Chonde wana kawe huyu mtu anataka kutugawanya hatufai kabisa.
View attachment 1555347
Ukiona mwana Ccm kindakindaki anasema hivi wewe mwananchi wa kawaida usemeje!!Kwa mara ya kwanza kwny Maisha yangu nitampa kura ya Ubunge Mgombea wa Chadema jimbo langu la Kawe Bi Halima Mdee hata kama kura hazitamtosha
Siwezi chagua tapeli, mdini, mkabila na mcheza picha za ngono
Muhimu hela ya ubwabwa tuKuna watu wameumbwa na nyuso zao hazina aibu na roho zao ngumu kama chuma cha pua. kweli leo anarudi kwa waislam bila aibu? bila hata ya kusema samahani sana kwa yale niliyokosea?
Kwa mara ya kwanza kwny Maisha yangu nitampa kura ya Ubunge Mgombea wa Chadema jimbo langu la Kawe Bi Halima Mdee hata kama kura hazitamtosha
Siwezi chagua tapeli, mdini, mkabila na mcheza picha za ngono
Baada ya kuahidi kuwa akipata nafasi ataigeuza misikiti kuwa Sunday school mpaka hatimae akateuliwa ili atimilize jambo lake. Ameanza kupita kwa Waislam kuwahadaa ili wasimkate kwe kura.
Aidha Gwajima amekua akionekana akitaka kutumia mahusiano yake na waislam ili ajipatie kura wakati aliahidi anataka kufuta misikiti yao. Hapa chini ni video wakati akipita pita katika nyanja zake. Chonde wana kawe huyu mtu anataka kutugawanya hatufai kabisa.
View attachment 1555347